Leo ndio nimewaelewa vizuri hawa masharobaro!

Leo ndio nimewaelewa vizuri hawa masharobaro!

komba05

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2016
Posts
367
Reaction score
293
Habari wanaforum!
Leo nimegundua Sifa kuu za hawa vijana Wa sasa hivi aka masharobaro! Hivi inakuwaje hawa watu kuazimana nguo, tena inafikia hata boxer watu wanavaliana kha! Haya ukija ktk kazi hawataki kufanya wao 24 hrs utamsikia akijadili ishu za mziki na mademu, wanaopenda miteremko balaaa yaani utakuta yeye ni vizinga tu hata aibu haoni! Tafadhali nyie vijana tafuteni pesa kwanza ndio mfanye hayo mambo la sivyo 0713 4G itawahusu!
Ongeza nawe tabia za hawa watu!
 
Diamond Analamba midomo Ila Ana Hela Kuliko wewe..... Ishi Maisha yako Tu
Dimond bado hajafikia hali ya kutajwa "ana hela kuliko wewe"

Watu ambao wanatajwa"ana hela kuliko wewe" ni akina rugemarila, Mengi, Baresa nk Dimond ana hela ya kawaida tu sema fame ndio inamboost.

Au labda wewe ndio kakuzidi pakubwa.
 
6cdfac2952b5f9f95086837ccc8522e2.jpg


Hivi nini maana ya kupose hivi anatoa ulimi na kufunga jicho moja??

Sithani kama wanamuiga Albert Einstein.
 
jiwe limetupwa gizani limekupata
sio kweli mkuu,mimi sio mtu wa aina hizo hata kidogo,binafsi mimi huwa sipendi mtu anayewasema watu ambao hawana madhara yeyote kwake,kila mtu ana maisha yake ukianza kumsema kila mtu kuhusu anavyoishi huwa naona kama utakuwa unapoteza muda wako wa kufanya maendeleo,kwani hao masharobaro wenyewe hawajui wakifanyacho?waache na maisha yao maana mwisho wa siku bado wakifeli hautokuwa msaada wowote kwao,kwaio ni kupoteza tu muda wako mkuu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom