Leo ndio nimewaelewa vizuri hawa masharobaro!

Leo ndio nimewaelewa vizuri hawa masharobaro!

Hii maada imenikumbusha mbali secondary Mtu ukiwa msafi sn unaonekana bishow ukiwa mchafu chafu uneonekana mgumu yaan msela
Mkuuu,kuna usafi,halafu na huu mtoa mada aliouita "usharobaro".ni vitu viwili tofauti
 
Mbona sisi masharobalo hatuna issue na mtu?
 
Hahahahaha halaf wengi wao hawapendi kazi ngumu wanapenda mteremko
 
ishi maisha yako mkuu,who are you to judge?
pia tarifa yako umeiandika kwa chuki sana,sidhai kama karne hii kuna watu wanaishi hayo maisha!
Ukiona manyoya ujue kuku kaliwa
 
Hii maada imenikumbusha mbali secondary Mtu ukiwa msafi sn unaonekana bishow ukiwa mchafu chafu uneonekana mgumu yaan msela
hakuna mahali watu wamesema usafo ni usharobaro, soma tena usijishtukie.........mnaboa nyie masharo-uharo, 98% ya mazungumzo yenu ni kina Diamond na timu zao, tena mko wengi sana Jukwaa la Celebrity. ndo maana naweza maliza mwaka sijaingia huko, sioni tofauti ya sharobaro na shoga
 
hakuna mahali watu wamesema usafo ni usharobaro, soma tena usijishtukie.........mnaboa nyie masharo-uharo, 98% ya mazungumzo yenu ni kina Diamond na timu zao, tena mko wengi sana Jukwaa la Celebrity. ndo maana naweza maliza mwaka sijaingia huko, sioni tofauti ya sharobaro na shoga
Wewe acha wazimu wewe ni mtu mjinga sn ... kwa watu wa styl yakoTanzania inamiaka elf 1000 ya kuja kuendelea maan unaniita sharobaro ili hali unijui ckujui inaonekana wewe unamatatizo ya akili lazima .
 
h
Dimond bado hajafikia hali ya kutajwa "ana hela kuliko wewe"

Watu ambao wanatajwa"ana hela kuliko wewe" ni akina rugemarila, Mengi, Baresa nk Dimond ana hela ya kawaida tu sema fame ndio inamboost.

Au labda wewe ndio kakuzidi pakubwa.
ahahahhahahha heya basi siku hizi mtu mwenye hela ya kawaida anaweza kununua nyumba za maana ndani ya wiki mbili, kwenda zanzibar na demu wake siku kadhaa na kutumia zaid ya mil. 250 ..... dah kama hiyo ni hela ya kawaida basi mkuu wewe nadhani utakua mtoto wa bakhresa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom