Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,175
Habarini za jioni,
Leo nataka wababa, tukae tupige story laini laini, si za kuumizana migongo, vichwa wala moyo.
Kama mjuavyo, leo akina mama si siku yao.
Uzunguni, labda wamepelekwa dinner, uswahili wamekusanyika mikekani na familia zao wababa included.
Kwa hiyo, akina baba karibuni tuchape stori wakati tukisubiri muda wa kulala.
Angalizo: hapa story tu, kula kwenu. Ila madafu yapo bure!
Leo nataka wababa, tukae tupige story laini laini, si za kuumizana migongo, vichwa wala moyo.
Kama mjuavyo, leo akina mama si siku yao.
Uzunguni, labda wamepelekwa dinner, uswahili wamekusanyika mikekani na familia zao wababa included.
Kwa hiyo, akina baba karibuni tuchape stori wakati tukisubiri muda wa kulala.
Angalizo: hapa story tu, kula kwenu. Ila madafu yapo bure!