Mkuu hapo kwenye porno,binafsi napinga,mana kunawengine tulikuwa huko kishumundu kuona gari tu shida sembuse simu,
Nimeanza kufanya huo mchezo ni miaka 18 sasa, kama ni experince ninayo ya kutosha sana. Kama unataka faida au hasara nazijua sana tu. Kifupi nina nyota tano begani kwa huo mchezo
Kipindi naanza hakukuwa na teknolojia ya leo ya kuingia Xvideo na mitandao mingine ili uangalie porn. Ila siku zinavyokwenda na mimi teknolojia yangu ya kupiga selfie ilibadilika kulingana na teknolojia ya dunia.
Nilianza napiga tu bila kuangalia wala kuimagin kitu chochote, nikaanza kupiga kwa kuweka picha ya msanii kama beyonce ambazo nlikuwa nazipata kwenye gazeti la Kiu na ijumaa. Lakini nkaenda mbali zaidi nkaanza kupiga kwa kusivutia stimu hadithi za kimahaba nlizozisoma kwenye vijalida mbalimbali kama shemeji kazime taa, au gazeti la sani.
Teknolojia ya selfie ilikuwa kwa kuanza kuangalia pilau kwenye vibanda vya video(Manzese kwa mfuga Mbwa) nkirudi home najipiga selfie za kutosha.
Teknolojia ikakua nkaaza kumiliki simu (Samsung ya bata) nkaanza kuchat sms (Sex chat) huku najiselfisha) baadae nkaanza kuongea kabisa na mademu huku tunajiselfisha wote na kufika mshindo.
Nikaua zaidi miaka ya 2010+ simu ya kupiga picha, unasave porn sasa na vipicha vya uchi ikawa ni rahisi kujiselfisha ukiwa ghetto. Na teknolojia ikawa kubwa sasa unasearch tu unapata porn online na kazi ikawa rahisi.
Ikaenda mbali zaidi, zikaja video chat, mnajipiga selfie na wazungu kwenye skype na kujiselfisha na mademu wa kibongo.
NB. Faida ya kujiselfisha kwa kuangalia kitu ni kubwa sana kuliko kuimagine bila kuona hata picha. Maana bila movie mbele unajikuta unatumia nguvu nyingi sana maana hilo tendo ni kubwa sana na linatake time sana na ww ndo unazidi kuumi. So ni vzuri ukiwa na porn movie ili kazi iwe rahisi. Au ni bora ufanye kwa sex talk na demu.
SOMO sasa kwa anetaka kupunguza maana kuacha kabisa hatuwezi.
Usiangalie Porn kabisa, yaani ww ishi dunia yako bila porn movie. Na achana kabisa na hizo sex chat kabisa. Maana hvo vitu ni kama kutia petrol kwenye moto.
Mwili wangu muda wote unawaka moto, yaani nna tamaa tu the maximum sasa ukiangalia au kufanya hz vitu unaendelea kuchochea.
USICHOCHEE MAPENZI.

mi sijawa andamana 