Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Feb 26, 2013 #1 Jamani hapa ninapoandika ujumbe huu niko njiani nikielekea airport kupanda fastjet. Naomba mliowahi fly na hili pipa niambieni nitarajie nini. Angalizo : Sio mara yangu ya kwanza kukwea pipa. Maana hamkawii....
Jamani hapa ninapoandika ujumbe huu niko njiani nikielekea airport kupanda fastjet. Naomba mliowahi fly na hili pipa niambieni nitarajie nini. Angalizo : Sio mara yangu ya kwanza kukwea pipa. Maana hamkawii....
suleym JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,960 1,205 Feb 26, 2013 #2 Lukansola said: Jamani hapa ninapoandika ujumbe huu niko njiani nikielekea airport kupanda fastjet. Naomba mliowahi fly na hili pipa niambieni nitarajie nini. Angalizo : Sio mara yangu ya kwanza kukwea pipa. Maana hamkawii.... Click to expand... umembeba hela ya soda mku? safari njema mkuu.
Lukansola said: Jamani hapa ninapoandika ujumbe huu niko njiani nikielekea airport kupanda fastjet. Naomba mliowahi fly na hili pipa niambieni nitarajie nini. Angalizo : Sio mara yangu ya kwanza kukwea pipa. Maana hamkawii.... Click to expand... umembeba hela ya soda mku? safari njema mkuu.
Lukansola JF-Expert Member Sep 5, 2010 5,435 1,597 Feb 26, 2013 Thread starter #3 suleym said: umembeba hela ya soda mku? safari njema mkuu. Click to expand... Kwani huko ndani vinywaji tunajitegemea? Asante kwa kunitakia safari njema mkuu.
suleym said: umembeba hela ya soda mku? safari njema mkuu. Click to expand... Kwani huko ndani vinywaji tunajitegemea? Asante kwa kunitakia safari njema mkuu.
The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,899 Feb 27, 2013 #4 Hongera mkuu umelipa kiasi gani? ulisubiri mda gani? unatoka wapi kwenda wapi?