Umsafishe kwani wewe ni mahakama..?
Hasafishiki hata ukitumia jik, foma, na steelwireView attachment 52884View attachment 52885
kila siku nimekuwa nikifuatilia mijadala hapa jf hususan kuhusiana na mbunge wa nzega, dkt. Hamis kigwangallah, uhusiano wake na ofisi ya mke wa rais (wama) na kupewa mkopo kwa ajili ya kufanya biashara. Nimefanikisha kupata orodha ya makampuni yaloyopewa stimulus package na kukuta kampuni ya msk solution ltd ambayo inamilikiwa na dkt. Kigwangalla haimo, hivyo habari zote kuwa alipewa shavu na mama kikwete kupitia mfuko huu ni uongo. Pia nimepata taarifa kutoka kikao cha wafanyabiashara, wakulima na bodi ya pamba na waziri wa kilimo prof. Maghembe kilichokaa pale bungeni dodoma j2 iliyopita na kufuatiwa na kikao kingine leo hapa mwanza kuwa wanalalamika kwa kutopewa wenyewe na badala yake kupewa makampuni yasiyojihusisha na biashara hiyo na hivyo kumuomba rais aangalie jinsi mchakato huu ulivyoendeshwa ili kunusuru masoko ya wakulima wa zao hili nyeti kanda ya ziwa.
We jamaa either huna akili au una akili ila hujui matumizi yake! Kwann unaleta ki2 cha kitoto hapa au ulifikiri awatu hawatufuatilii mambo? Wengine tunasoma na kudigest everyword,haya hiyo kampuni no.13 ni ya mshenzi gani mwingine?
Huyu alidhani kwa kutuwekea kopi isiyosomeka ndio itakuwa iepita hiyo. Masikini hata hakujipa kazi ndogo ya kufuta au kuchakachua jina la kampuni.Nafikiri huyu jamaa kakosea kuandika. Sijui shetatani alimpitia alitaka kuandika akakisahau na kuandika kitu kingine tofauti. Kampuni No. 13 ni MSK sasa yeye anasema haipo, mmmhhhh
Umsafishe kwani wewe ni mahakama..?
Umsafishe kwani wewe ni mahakama..?
View attachment 52884View attachment 52885
kila siku nimekuwa nikifuatilia mijadala hapa jf hususan kuhusiana na mbunge wa nzega, dkt. Hamis kigwangallah, uhusiano wake na ofisi ya mke wa rais (wama) na kupewa mkopo kwa ajili ya kufanya biashara. Nimefanikisha kupata orodha ya makampuni yaloyopewa stimulus package na kukuta kampuni ya msk solution ltd ambayo inamilikiwa na dkt. Kigwangalla haimo, hivyo habari zote kuwa alipewa shavu na mama kikwete kupitia mfuko huu ni uongo. Pia nimepata taarifa kutoka kikao cha wafanyabiashara, wakulima na bodi ya pamba na waziri wa kilimo prof. Maghembe kilichokaa pale bungeni dodoma j2 iliyopita na kufuatiwa na kikao kingine leo hapa mwanza kuwa wanalalamika kwa kutopewa wenyewe na badala yake kupewa makampuni yasiyojihusisha na biashara hiyo na hivyo kumuomba rais aangalie jinsi mchakato huu ulivyoendeshwa ili kunusuru masoko ya wakulima wa zao hili nyeti kanda ya ziwa.