Leo na milele nitakuwa hapa

Leo na milele nitakuwa hapa

Celebrity

Member
Joined
Jan 7, 2010
Posts
66
Reaction score
1
Hodi! Hodi wajameni nipokeeni mja wenu.Natumaini mapokezi mazuri. Asanteni.

Nyivonduma sir.
 
Jina lako gumu sana bana...Umeshindwa kujiita jina rahisi kama Mwakitakotako au Ng'wanza Madaso!
 
Karibu....taratibu lakini, usijikaribishe wanajamii wataficha ugali
 
na hizo sir sijui ndimanyiro sijui kitu gani lazima utakuwa kwenye kilabu flani pale kibosho saa hizi unasikitika na mbege babangu.....sorry, we she au he?
 
na hizo sir sijui ndimanyiro sijui kitu gani lazima utakuwa kwenye kilabu flani pale kibosho saa hizi unasikitika na mbege babangu.....sorry, we she au he?

Mimi ni HE lenye ndevu kabisa, jina langu rahisi muulizeni mtu anayejua kusoma vizuri
 
Back
Top Bottom