Leo mpo wapi.....?

Leo mpo wapi.....?

Mi acha nifunge bakuli , manaake nafanya vitu vya aibu rite now!

We kijana, umeshindwa kuvumilia mateso umeamua kutafuta MJASIRIAMWILI nini!? nakumbuka kauli yako ya jana
 
Naam! Hapa ni kwamba kauli inayotumika ni moja tu kama hawa jamaa wa mtandao wanaosema KAZI ni KWAKO TU na hapa naona masupu kama kawa vile! Ila ngoja kwanza ikishushwa down tu nakuseach nawe uwepo hapa!


mkuu hapo nitakuja kwenye saa kumi na moja kasoro asubuhi.....siko mbali sana na hapo.....supu si itakuwa tayari......?


Kha ha ha ha ha ha ha haaaaa! Jiji la Arusha raha sanaaa! Kila kitu kinaenda kama wenyeji wanavyotaka
 
Ooooh..wapendwa wangu.. Jana ilibd nijiwah mapema maana nilianza mapema nikawa hoi kimtindo.. Simnajua kuna vinywaji havidanganyi...?!!!
 
Ooooh..wapendwa wangu.. Jana ilibd nijiwah mapema maana nilianza mapema nikawa hoi kimtindo.. Simnajua kuna vinywaji havidanganyi...?!!!

pole sana....siku nyingine anza kwenye saa 3 au 4 ili uweze kudumu kwenye fani.....
 
Naam! Hapa ni kwamba kauli inayotumika ni moja tu kama hawa jamaa wa mtandao wanaosema KAZI ni KWAKO TU na hapa naona masupu kama kawa vile! Ila ngoja kwanza ikishushwa down tu nakuseach nawe uwepo hapa!





Kha ha ha ha ha ha ha haaaaa! Jiji la Arusha raha sanaaa! Kila kitu kinaenda kama wenyeji wanavyotaka

umeona eeeeeh......
 
aliepo Elements anyooshe mkono....nimuone....saa hii.....
 
hivi nyie wana CC....w/end mnaichukulije......?
 
Au Jumamosi hamtoki.....? mmekuja kuwaje bana.....?


Njoo njenje kwa mamende pale Salender uje tucheze ''libwaaja libwaaja liko paande, na huko pande lilipo liko shamba la Jumanne ingekuwa gogo ningelikata, nkaligawa mapande''...
 
Njoo njenje kwa mamende pale Salender uje tucheze ''libwaaja libwaaja liko paande, na huko pande lilipo liko shamba la Jumanne ingekuwa gogo ningelikata, nkaligawa mapande''...

nitakuja....tukutane saa ngapi......?
 
nitakuja....tukutane saa ngapi......?


Tano na nusu...
Njoo ulimong'onyoe uno na vibao kama Boko, Kachiri, Njenje, Kinyaunyau, Mdoo, Tupendane, Gere, Nchecheme na vingine vingi...

kauli mbiu ya Njenje ni ''once your in, always in''
So kama ukija leo basi hutokaa ukose Jumamosi zote zinazofuata, labda tu kwa udhuru maalum.

Wastaarab wa Dar utawakuta Salender...
Hakuna ngumi, kurushiana chupa wala tashtiti nyingine.
 
Back
Top Bottom