Leo mpo wapi.....?

Leo mpo wapi.....?

Preta

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
24,320
Reaction score
18,875
Au Jumamosi hamtoki.....? mmekuja kuwaje bana.....?
 
Mie nko vila park naenjoy mziki live ikifika mida ya sa6 ntaingia kiss club kuruka debe...karibu Preta
 
Last edited by a moderator:
Mie nko vila park naenjoy mziki live ikifika mida ya sa6 ntaingia kiss club kuruka debe...karibu Preta

asante mwaya.....mi hapa naelekea 3A kuruka majoka.....najisikia kushake sana leo.....
 
Last edited by a moderator:
Aseee nimekumis chuga,vp kuna baridi? Ngoja nile bata za mwisho mwanza kesho nigeuze lol
asante mwaya.....mi hapa naelekea 3A kuruka majoka.....najisikia kushake sana leo.....
 
Mie nko vila park naenjoy mziki live ikifika mida ya sa6 ntaingia kiss club kuruka debe...karibu Preta
duh..yaani unageuka tu...,kulala la kairo,kwitima au sparow? ...hahaha
 
Last edited by a moderator:
..niko mzalendo pub,kwa my best Dj venture...mnataka picha?

afu mwambie Venture.....Preta anammiss....toka enzi ya Mawingu ndo ametususa kabisa.......
 
Karibia hapa nilipo ndani ya NAROK PUB na bila shaka utanikuta,Si unapajua lakini?

mkuu hapo nitakuja kwenye saa kumi na moja kasoro asubuhi.....siko mbali sana na hapo.....supu si itakuwa tayari......?
 
Aseee nimekumis chuga,vp kuna baridi? Ngoja nile bata za mwisho mwanza kesho nigeuze lol

hakuna baridi wala nini....njoo bana.....kuna kiwanja kipya kinafunguliwa Moshono ujue.....
 
Mi acha nifunge bakuli , manaake nafanya vitu vya aibu rite now!
 
Nimetokea brajec mikochen...naingia home kulalaa.. Enjoy ur night wapendwa!
 
Savvana lounge. Ben Mkapa tower.. Full bata ryt now. Nshajenga mie.
 
Back
Top Bottom