Ila maoni yangu binafsi Mbowe hafai kuwa mshauri wa masuala ya ndoa kwa sababu ya kwake imemshinda akaamua "kuchepuka" kwa Joyce Mukya akazaa nje ya ndoa
Ulitaka amgonge mamako ndo atoe nasahaMbowe anatoa nasaha za ndoa?..haya masihara sasa!
Ulitaka amgonge mamako ndo atoe nasaha
Hahahahaaaaaaaa.............!!!!Mkuu umenivunja mbavu sana.Ndio maana naipenda JF
Harusi ya Joshua Nassari na Anande Nnko
imeweza kuwakutanisha pamoja mahasimu
wa kisiasa nchini jioni ya leo Usa River,
Arumeru Mashariki.
Mbowe amemuasa Nassari kutobadilika
msimamo baada ya kuoa maana bado
hakijaeleweka.
Mama Tunu Pinda amemsihi Anande
kumsaidia mumewe aweze kurudi Bungeni
2015.
Naibu spika Job Ndugai amewasihi
wanaArumeru kuendelea kumuunga mkono.
Nassari kwani anaweza na wao ni
mashahidi..akitolea mfano swala la ardhi!!
Mbona we ni mwanaharamu ila hatusemi tu. Hujui mamako alichepuka na mlevi Wa mataputapu akakuzaa ww
Fikiria kama wewe ndo mtoto wa kike wa Mbowe wa familia yake ya awali ungejifunza nini kutoka kwa mama yako?tukisema watoto waliozaliwa nje ya ndoa wote wauawe,sijui wewe utakimbilia wapi,zaidi ya 41% watu wote tz ni watoto waliotokana na michepuko,
Fikiria kama wewe ndo mtoto wa kike wa Mbowe wa familia yake ya awali ungejifunza nini kutoka kwa mama yako?
Mbona we ni mwanaharamu ila hatusemi tu. Hujui mamako alichepuka na mlevi Wa mataputapu akakuzaa ww
Nini maana ya TAKATIFU!Bora Slaa hakufika maana sio muumini wa ndoa takatifu.
Wewe CHOO Le mutuz ataoa lini au ansubiri mjane ktk umri km wa babake?Bora Slaa hakufika maana sio muumini wa ndoa takatifu.
Ila maoni yangu binafsi Mbowe hafai kuwa mshauri wa masuala ya ndoa kwa sababu ya kwake imemshinda akaamua "kuchepuka" kwa Joyce Mukya akazaa nje ya ndoa