Leo man of the match ni Nassari

Leo man of the match ni Nassari

acha kutudhalilisha wewe. labda kwenye hiyo familia yenu.

tukisema watoto waliozaliwa nje ya ndoa wote wauawe,sijui wewe utakimbilia wapi,zaidi ya 41% watu wote tz ni watoto waliotokana na michepuko,
 
yaani na mbowe amekuwa mshauri kwenye masuala ya ndoa? chaka!


Harusi ya Joshua Nassari na Anande Nnko
imeweza kuwakutanisha pamoja mahasimu
wa kisiasa nchini jioni ya leo Usa River,
Arumeru Mashariki.

Mbowe amemuasa Nassari kutobadilika
msimamo baada ya kuoa maana bado
hakijaeleweka.

Mama Tunu Pinda amemsihi Anande
kumsaidia mumewe aweze kurudi Bungeni
2015.

Naibu spika Job Ndugai amewasihi
wanaArumeru kuendelea kumuunga mkono.

Nassari kwani anaweza na wao ni
mashahidi..akitolea mfano swala la ardhi!!
 
Mwacheni kijana wa watu (Joshua Nassari) apumzike kwani yuko kwenye FUNGATE (MWEZI ASALI)!
 
Heko Nassari, ,,ile vita ya kukomboa ardhi ya wazawa usisahau baada ya kuoa. Endeleza ugwerila wameru wanataka ardhi inayohodhiwa na wageni kukopea kwenye benki zetu irejeshwe bila masharti. Vita ya Kirilo bado ushindi.
 
safi sana nasary kwa kufunga ndoa arumeru sio dar es salaam kama kina . . .
 
Heko Nassari, ,,ile vita ya kukomboa ardhi ya wazaha usisahau baada ya kuoa. Endeleza ugwerila wameru wanataka ardhi inayohodhiwa na wageni kukopea kwenye benki zetu irejeshwe bila masharti. Vita ya Kirilo bado ushindi.
Ile Eka miatano anayomiliki MTEI hapo Tengeru pia irudishwe na kugawanywa kwa wananchi kwa usawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom