Leo man of the match ni Nassari

Leo man of the match ni Nassari

Huey freeman

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2013
Posts
593
Reaction score
248
Harusi ya Joshua Nassari na Anande Nnko
imeweza kuwakutanisha pamoja mahasimu
wa kisiasa nchini jioni ya leo Usa River,
Arumeru Mashariki.

Mbowe amemuasa Nassari kutobadilika
msimamo baada ya kuoa maana bado
hakijaeleweka.

Mama Tunu Pinda amemsihi Anande
kumsaidia mumewe aweze kurudi Bungeni
2015.

Naibu spika Job Ndugai amewasihi
wanaArumeru kuendelea kumuunga mkono.

Nassari kwani anaweza na wao ni
mashahidi..akitolea mfano swala la ardhi!!
 
mungu amekupa kitu chema, wana arumeru msituangushe watanzania mrudisheni bungeni mwakani.
 
ndungai imemtoka moyoni au alikua keshakolea mvinyo? siasa ni kitu kingine kabisa
 
Ila maoni yangu binafsi Mbowe hafai kuwa mshauri wa masuala ya ndoa kwa sababu ya kwake imemshinda akaamua "kuchepuka" kwa Joyce Mukya akazaa nje ya ndoa
 
viva kamanda bila shaka utatuletea makamanda wengine wema Jah live mwombe hekima yake iwe ni ndoa yenye baraka telee...
 
Harusi ya Joshua Nassari na Anande Nnko
imeweza kuwakutanisha pamoja mahasimu
wa kisiasa nchini jioni ya leo Usa River,
Arumeru Mashariki..
Mbowe amemuasa Nassari kutobadilika
msimamo baada ya kuoa maana bado
hakijaeleweka
Mama Tunu Pinda amemsihi Anande
kumsaidia mumewe aweze kurudi Bungeni
2015
Naibu spika Job Ndugai amewasihi
wanaArumeru kuendelea kumuunga mkono
Nassari kwani anaweza na wao ni
mashahidi..akitolea mfano swala la ardhi!!

Mbowe anatoa nasaha za ndoa?..haya masihara sasa!
 
tv za kwetu vipi, kwenye misiba wanabebelea makamera, kwenye harusi mh! sijui wanamatatizo gani? kila siku kutupatia habari za masikitiko tu kama tanzania ni jehanamu, mutupe na za furaha nyie vipi!
 
mbowe ndoa yake imemshinda anarukia ya nassary...
 
Ila maoni yangu binafsi Mbowe hafai kuwa mshauri wa masuala ya ndoa kwa sababu ya kwake imemshinda akaamua "kuchepuka" kwa Joyce Mukya akazaa nje ya ndoa

tukisema watoto waliozaliwa nje ya ndoa wote wauawe,sijui wewe utakimbilia wapi,zaidi ya 41% watu wote tz ni watoto waliotokana na michepuko,
 
Picha tafadhari vinginevyo mnatuzingua tu na maneno yenu
 
Ndugai nae kaenda kupiga kipunga!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom