Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,167
- 22,753
Namtizama nasema hiiiiiiiih. Hatari sana. Lazima game ipigwe hata kama uwanja utakuwa umejaa maji. Lazima. Nasubiria tu aseme ameshafika nikampokee.
Maandalizi yake ni bab kubwa.
Maandalizi yake ni bab kubwa.