Leo itakuwa mwisho kulipia bando, nimepata suluhisho la bure

Hakunaga kitu Cha bure katika internet iko hivi unapata internet bure Ila info. Zako Zina chukuliwa kwa ajili ya matumizi mengine ambayo ukiiingia darkweb vitu Kam ivyo vinauzwa kitendo Cha ku connect kwenye server it means una alllow permanent backdoor kuwa installed mfano advanced keylogger ambayo Ni ngumu ku dedect hata Kama una antivirus natamani nielezee ving Ila mnaosema mnadukuliwa insta, what'sapp na Facebook hiyo Ni moja wapo ya mbinu hizo kwa sababu hai provide privacy wakati uko connected kwenye internet....!

HASARA YA INTERNET YA BURE...!

Taarifa zenu zinauzwa dark web kwa ajili ya kutengeneza fake identy kwa watu ambao Wana kazi maalum mfano majasusi...!

unaweza kufanyiwa blackmail iwapo itagundulika Kama uko vizuri kipesa

Kwa nyie mnao ltumia iPhone msidhani kwamb mko safe iko iko ivi unixsystem inaprovide better securty but Kuna weakness za software ambazo ndizo zinsababishwa watu info ziibiwe mfano
P*g*** hiyo Ni tool ya ki Russia ambayo inaweza intercept whatsapp communication mfano Kuna wasanii wanatumia iPhone lkn video zao zinaenda viral kwa sababu ya vitu Kama ivyo watu wa reverse engineer hapa tunaongea lugha moja

Nitaanzisha Uzi wangu alf nitaitaji volunteer wawili Alf nitatengeza darkweb site yangu kwa ajili ya Hilo ningependa mjionee dunia ilivyo...! Ningependa kumaliza kwa kisema " Everything has price"

Wakuelewa kaelewa nimechoka kuandika....!
Hata usipotumia vPN bado utapigwa tu middle finger kupitia android pp nyingine uwekazo kwenye simu yako
 
ukiwapa watu vitonga hakichelewi kufungiwa hii trick haitadumu.watu tuna miaka 2 hatujui kuweka vochaaa issue ni usiri .watz wengi ndio wamenyimwa usiri
Yani huyu jamaa amekuja kuharibu kila kitu. Sahivi post yale ipo front page kwenye trending.
 
Kuna njia zaidi ya Moja ila iliyo rahisi ni hii:-
-Kikubwa simu yako iwe Rooted
-Create Account za droid vpn hata 10 kwa maana 10x300=3000MB
-pakua device ID changer then fanya kuchange ID ya simu yako
-Login DRoidVpn na Ac nyingine
-Kila unapomaliza 300Mb zako change ID then unaingia Droid vpn na AC ingine yaani Mwendo huo huo
ukimaliza zile 10 badili server then Anza tena na ya 1 endelea kucheza na Device ID
Mkuu habari , naomba kukuulizia. Settings za HA. Tunnell plus VPN ili ifanye kazi , kwa voda inakuwaje mkuu tiririka

Thanks on advance!!!!!
 
Mkuu habari , naomba kukuulizia. Settings za HA. Tunnell plus VPN ili ifanye kazi , kwa voda inakuwaje mkuu tiririka

Thanks on advance!!!!!
Ahaa kama ipo ya Voda itakuwa ni exclusive Asee hawatakuja kuiweka hapa yaani ni mwendo wa kulamba Asali kwa ncha ya kisu
 
ukiwapa watu vitonga hakichelewi kufungiwa hii trick haitadumu.watu tuna miaka 2 hatujui kuweka vochaaa issue ni usiri .watz wengi ndio wamenyimwa usiri
Wewe tafuta hiyo trick ule peke yako ila kama ni jasho la Kanjubai akaamua kushare na wengine why wewe ubane?
Mimi nilikuwa na roho ya choyo kama yako hapo kabla but unafaidika na nini wakati wenzio wanakamuliwa na ISP kila kukicha?
 
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia

Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU

ivi kwa watu wa IOS inaweza fanya kazi??
 
Shikamoo Jamiiforums
Shikamoo wewe kaka uliyetoa elimu ya hii kitu leo nimeinjoi kutwa... ingawa ilivyofika usiku naambiwa server is full
Screenshot_20220819-034029.jpg
 
Nimeona ni ujinga kulialia kila siku sasa ni mwendo wa vpn tu nilikuwa napata shida na configuration files namalizia tu kuzi sort hapa na kuna mdau nimekutana naye instagram ni mnigeria ananisaidia

Airtel leo mnaenda kupata tshs 2000 ya mwisho kwenye bando lakini bado nitakuwa hewani sana FOR FREE UNYONGE SASA BASI NYIE PANDISHENI TU HATA IWE 5000 KWA MB 50 ,WAZIRI MWENYEWE AKILALAMIKIWA ANAWASUTA WATU
Mwenye Application ya Kudetect Wifi ambayo ina Unlock Password anisaidie Jamaan Uuwiii....
 
Kwani na nyie Watu wa Usalama ( SSIT ) Siku hizi hampewi tena Hela ya Kununua Mabando ya Internet ili muwe mnakesha Mitandaoni Kukusanya Tasrifa Nyeti ili mkazifanyie Kazi?
Kitu ambacho sijaelewa kwamba hii VPN unapewa MB 200 per day ukitumia zikiisha ndo basi au ni Kila siku mb 200
 
Ni sahihi ila sio 100% sahihi.

Mfano tundu limepatikana kwenye isp kwa kutumia vpn, v2ray, ssh, proxy ama njia yoyote ile hilo ni tundu.

Mtu anapotumia service kufanikisha mfano vpn ya bure ama proxy ya bure yes anaweza dukuliwa taarifa zake maana kunakuwa na man in the middle hapo taarifa zako zote zinapitia kwao.

Ila si kila service zinadukua, unaweza hata ukahost proxy ama vpn yako kama una Vps.
So inaweza tokea ila sio 100%
Nakubaliana na wewe mkuu Ila kwa kuongozea iko hivi muda mwingine haijalishi hata ukitumia VPN mtu anaweza kukutrack itategemea na aina ya VPN unayotumia iwapo utatumia VPN ambayo Ina save logs unapatikan vizuri Tena bila shida hii elimu ya VPN watu wengi hawaifahamu inabidi waielimishwe Mara nyingi unakuta kwa hizi VPN za Google playstore na app store ....!

Naimalizia kwa kusema elimu ya security awareness Ni ndogo San hasa kwa nchi kam zetu hata kwenye ma bank yanalizwa sema tu hayatangazi Wana weakness zao Ni benki 5 tu kwa hapa tz hizi ziko poa sanaa kwa mtizamo wangu Mimi hata ukiangalia structure ya security zao wanatumia kam approch ya zero trust....!

Uwe na siku njema mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom