Leo hii Marekani yajaribu kuteka meli ya mafuta ya Iran, Iran yaichukua meli yao kwa kutumia kikosi maalum cha Makomando katika pwani ya Oman

Ujinga wa iran, yani wasikaribiwe kidogo na marekani tayari wana andika habari kua walikua wanataka kudhulumiwa

Hata viboti ambavyo vinakodiwa na maharusi kwa ajili ya honeymoon, iran inaweza kuvilipua afu font page ikaandikwa MELI KUBWA YA KIJESHI YA MAREKANI INETUNGULIWA
 
Hasira zinatoka wapi mkuu? Wakati jeshi lenu tukufu limeishinda Marekani? Hebu tuambie lini Iran itaenda Israel kuikomboa ardhi Takatifu ya Wapalestina?
Inaonyeshea hizi habari zinawauma
20211103_211325.jpg
 
Kwani vile visima vya mafuta vya Siria wanafanya nini unahisi ? Na serikali ya Siria ishawaambia waondoke !!!
chief, acha kusikiliza propaganda majalala.
hakuna kampuni ya kigen ndani ya nchi yoyote inaendesha shughuli zake bila mkabata na serikali.
habari kuwa wanaiba mafuta ni propaganda tu kama za kuibiwa makinikia.
 
Mwanaume unamsema Mwanaume mwenzako kuhusu kufuga ndevu! haya ni maajabu aisee,kwahiyo wewe unashindana na Dada zetu kua na kidevu kisichokua na ndevu na kung'arisha sura?

Vita hutokea nchi yeyote ile,Rwanda waliuawa wenyewe kwa wenyewe unalijua hilo? South Africa wanatwangana wenyewe kwa wenyewe,DRC huko kuna vita isiyo kwisha,mifano ipo mingi ila wewe unaonekana uwezo wako wa uelewa na kuchambua mambo ni mdogo sana,

Nakushauri upige kimya ili kuficha ujinga wako.
Sawa black-mwaajemi wa kwa mtogole. Umefuga na ndevu ujifananishe na wao. Nilijua utakuwa wa kwanza kwanza pale juu. Vipi vikitokea vipigo huko kwenu wenyewe kwa wenyewe,mnaanza tena kung'ang'aniana ndege kwenda U.S.A?
 
chief, acha kusikiliza propaganda majalala.
hakuna kampuni ya kigen ndani ya nchi yoyote inaendesha shughuli zake bila mkabata na serikali.
habari kuwa wanaiba mafuta ni propaganda tu kama za kuibiwa makinikia.





Hawa wanosema , je hawajui wakisemacho ?
 





Hawa wanosema , je hawajui wakisemacho ?

iki ulichokiweka hapa umekisoma kabla ya kukipest hapa ama umekiweka kama changamoto tu?.
katika hizo link hakuna ushahidi wa Us kuiba mafuta bali naona Asad anailalamikia Us kuingia mkataba wa mafuta na wakurd.

Ni hivi bwasheeeee :, serikali ya Us haifanyi biashara ya mafuta, haimiliki roli wa reli ya kusafirisha mafuta bali wanachi Us wana makampuni ya mafuta ndani ya Syria and the rest na hii si kwa Us tu hata china na india wanamakampuni yao ndani ya Syria.

Us analinda makampuni ya raia wake, china, india etc wote wanafanya hivyo hivyo.

Mafuta ya Mashariki ya kati yanazalishwa chini ya OPEC NATIONS na yanauzwa kwenye masoko huru.
 
Back
Top Bottom