Marekani yaanzisha awamu ya nne ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi nchini Yemen

Exile

JF-Expert Member
Feb 21, 2021
1,406
3,363
Marekani imefanya duru ya nne ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, maafisa wa Pentagon walithibitisha Jumatano usiku.

Baadhi ya makombora 14 ya Houthi, ambayo Marekani inasema huenda yalilengwa kwa ajili ya mashambulizi ya meli katika Bahari ya Shamu, yalilengwa na majeshi ya Marekani.

Centcom - kamandi ya Amerika Mashariki ya Kati - ilisema maeneo hayo yalipigwa na makombora ya Tomahawk yaliyorushwa kutoka kwa meli za Jeshi la Wanamaji la Marekani

Mashambulizi hayo yanakuja huku Marekani ikiwataja Wahouthi kama "magaidi wa kimataifa".

Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani, Jake Sullivan alisema hatua hiyo, ambayo ilibatilisha uamuzi wa kuondoa jina hilo katika siku za mwanzo za utawala wa Biden, ni kujibu mashambulizi yanayoendelea ya wanamgambo hao dhidi ya meli za kibiashara katika eneo hilo.

Waasi wa Houthi walianza kushambulia meli za wafanyabiashara mwezi Novemba, wakisema walikuwa wakijibu operesheni ya kijeshi ya Israel huko Gaza. Tangu wakati huo, kundi hilo limeanzisha mashambulizi kadhaa dhidi ya meli za kibiashara zinazopitia Bahari ya Shamu , mojawapo ya njia za meli zenye shughuli nyingi zaidi duniani
Waasi wa Houthi wa Yemen wameilenga meli inayomilikiwa na Marekani katika Ghuba ya Aden baada ya Washington kusema italitaja tena kundi hilo kuwa "magaidi wa kimataifa".

Kundi hilo lilisema liliipiga "Genco Picardy" kwa makombora ambayo yalisababisha "pigo lamoja kwa moja".

Jeshi la Marekani linasema kuwa meli hiyo ilipigwa na ndege isiyo na rubani Jumatano jioni

Chanzo: BBC swahili
 
Marekani imefanya duru ya nne ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, maafisa wa Pentagon walithibitisha Jumatano usiku.

Baadhi ya makombora 14 ya Houthi, ambayo Marekani inasema huenda yalilengwa kwa ajili ya mashambulizi ya meli katika Bahari ya Shamu, yalilengwa na majeshi ya Marekani.

Centcom - kamandi ya Amerika Mashariki ya Kati - ilisema maeneo hayo yalipigwa na makombora ya Tomahawk yaliyorushwa kutoka kwa meli za Jeshi la Wanamaji la Marekani

Mashambulizi hayo yanakuja huku Marekani ikiwataja Wahouthi kama "magaidi wa kimataifa".

Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani, Jake Sullivan alisema hatua hiyo, ambayo ilibatilisha uamuzi wa kuondoa jina hilo katika siku za mwanzo za utawala wa Biden, ni kujibu mashambulizi yanayoendelea ya wanamgambo hao dhidi ya meli za kibiashara katika eneo hilo.

Waasi wa Houthi walianza kushambulia meli za wafanyabiashara mwezi Novemba, wakisema walikuwa wakijibu operesheni ya kijeshi ya Israel huko Gaza. Tangu wakati huo, kundi hilo limeanzisha mashambulizi kadhaa dhidi ya meli za kibiashara zinazopitia Bahari ya Shamu , mojawapo ya njia za meli zenye shughuli nyingi zaidi duniani
Waasi wa Houthi wa Yemen wameilenga meli inayomilikiwa na Marekani katika Ghuba ya Aden baada ya Washington kusema italitaja tena kundi hilo kuwa "magaidi wa kimataifa".

Kundi hilo lilisema liliipiga "Genco Picardy" kwa makombora ambayo yalisababisha "pigo lamoja kwa moja".

Jeshi la Marekani linasema kuwa meli hiyo ilipigwa na ndege isiyo na rubani Jumatano jioni

Chanzo: BBC swahili
Mashambulizi ya kutoka mbali hayawezi kuww na maana yoyote
 
Marekani imefanya duru ya nne ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, maafisa wa Pentagon walithibitisha Jumatano usiku.

Baadhi ya makombora 14 ya Houthi, ambayo Marekani inasema huenda yalilengwa kwa ajili ya mashambulizi ya meli katika Bahari ya Shamu, yalilengwa na majeshi ya Marekani.

Centcom - kamandi ya Amerika Mashariki ya Kati - ilisema maeneo hayo yalipigwa na makombora ya Tomahawk yaliyorushwa kutoka kwa meli za Jeshi la Wanamaji la Marekani

Mashambulizi hayo yanakuja huku Marekani ikiwataja Wahouthi kama "magaidi wa kimataifa".

Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani, Jake Sullivan alisema hatua hiyo, ambayo ilibatilisha uamuzi wa kuondoa jina hilo katika siku za mwanzo za utawala wa Biden, ni kujibu mashambulizi yanayoendelea ya wanamgambo hao dhidi ya meli za kibiashara katika eneo hilo.

Waasi wa Houthi walianza kushambulia meli za wafanyabiashara mwezi Novemba, wakisema walikuwa wakijibu operesheni ya kijeshi ya Israel huko Gaza. Tangu wakati huo, kundi hilo limeanzisha mashambulizi kadhaa dhidi ya meli za kibiashara zinazopitia Bahari ya Shamu , mojawapo ya njia za meli zenye shughuli nyingi zaidi duniani
Waasi wa Houthi wa Yemen wameilenga meli inayomilikiwa na Marekani katika Ghuba ya Aden baada ya Washington kusema italitaja tena kundi hilo kuwa "magaidi wa kimataifa".

Kundi hilo lilisema liliipiga "Genco Picardy" kwa makombora ambayo yalisababisha "pigo lamoja kwa moja".

Jeshi la Marekani linasema kuwa meli hiyo ilipigwa na ndege isiyo na rubani Jumatano jioni

Chanzo: BBC swahili
Hata waanzishe mashambulizi ya 4000.
Houthi mpaka wa Manzese tunashikilia palepale hakuna meli kupita kwenda Israel full stop.
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!
 
Marekani imefanya duru ya nne ya mashambulizi dhidi ya Wahouthi wanaoungwa mkono na Iran nchini Yemen, maafisa wa Pentagon walithibitisha Jumatano usiku.

Baadhi ya makombora 14 ya Houthi, ambayo Marekani inasema huenda yalilengwa kwa ajili ya mashambulizi ya meli katika Bahari ya Shamu, yalilengwa na majeshi ya Marekani.

Centcom - kamandi ya Amerika Mashariki ya Kati - ilisema maeneo hayo yalipigwa na makombora ya Tomahawk yaliyorushwa kutoka kwa meli za Jeshi la Wanamaji la Marekani

Mashambulizi hayo yanakuja huku Marekani ikiwataja Wahouthi kama "magaidi wa kimataifa".

Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani, Jake Sullivan alisema hatua hiyo, ambayo ilibatilisha uamuzi wa kuondoa jina hilo katika siku za mwanzo za utawala wa Biden, ni kujibu mashambulizi yanayoendelea ya wanamgambo hao dhidi ya meli za kibiashara katika eneo hilo.

Waasi wa Houthi walianza kushambulia meli za wafanyabiashara mwezi Novemba, wakisema walikuwa wakijibu operesheni ya kijeshi ya Israel huko Gaza. Tangu wakati huo, kundi hilo limeanzisha mashambulizi kadhaa dhidi ya meli za kibiashara zinazopitia Bahari ya Shamu , mojawapo ya njia za meli zenye shughuli nyingi zaidi duniani
Waasi wa Houthi wa Yemen wameilenga meli inayomilikiwa na Marekani katika Ghuba ya Aden baada ya Washington kusema italitaja tena kundi hilo kuwa "magaidi wa kimataifa".

Kundi hilo lilisema liliipiga "Genco Picardy" kwa makombora ambayo yalisababisha "pigo lamoja kwa moja".

Jeshi la Marekani linasema kuwa meli hiyo ilipigwa na ndege isiyo na rubani Jumatano jioni

Chanzo: BBC swahili
Msuli tembo matokeo sungura
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!
Mkuu dola b400 unafaham kias chase lakn
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!
Yaani mbongo mla mihogo anajua silaha za Houthi ziko wapi lakini Mmarekani na CIA yao hwajui lolote???
....
....very Interesting
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!
msipeleke kesi ICJ
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!
Ila sis wabongo duuh yaani vitu vya wahouthi viko underground ww unafahamu? Ila marekani, france, UK hawajui?😂😂😂😂
 
Hao Wahaouthi walishajifunza toka zamani wakati wanapigana na Saudia kuwa zana muhimu za kijeshi zinachimbiwa chini kwenye Tunnels. Saudia ilikuwa ikitumia midege ya Marekani na ilitumia takriban dola BILIONI 200 kupigana na Wahaouthi na haikuambulia chochote.

Marekani iendelee kupiga itakavyo lakini vitu vya Wahouthi viko underground still na meli hazipiti ngo'!.
Kama inajiona mbabe saaana ipeleke soldiers kule Yemen ione cha mtema kuni!

Huwa mnajua kuropoka jamani, huyo ujasirir mnapata wapi?
 
Back
Top Bottom