Leo Agosti 14 ni Siku ya Mjusi Duniani

Leo Agosti 14 ni Siku ya Mjusi Duniani

Nakumbuka siku moja kuna kenge alikua anavuka barabara ya Lami, alivuka vzuri tu ila kwenye zile kingo za barabara alishindwa kupanda na kwakuwa alituona sisi tunapita yaani tunaelekea lilipo basi likarudi barabarani tena likawa linataka kukimbilia kwenye uvungu wa Coast iliyokua inatembea, likakutana na tyre la Gari likapasuliwa utumbo wote nje. Jamaa mmoja alikuwa nyuma yangu alisikitika sana kwamba huyu kenge mjinga sana yaani alikuwa keshavuka kabisa ila kwa upumbavu wake wa kuogopa watu amejipeleka kwenye kifo. Aisee mtu akikutukana kuwa Huna akili kama Kenge! Kajinyonge ni tusi baya sana.
 
Nakumbuka siku moja kuna kenge alikua anavuka barabara ya Lami, alivuka vzuri tu ila kwenye zile kingo za barabara alishindwa kupanda na kwakuwa alituona sisi tunapita yaani tunaelekea lilipo basi likarudi barabarani tena likawa linataka kukimbilia kwenye uvungu wa Coast iliyokua anatembea, likakutana na tyre la Gari likatupasuliwa utumbo wote nje. Jamaa mmoja alikuwa nyuma yangu alisikitika sana kwamba huyu kenge mjinga sana yaani alikuwa keshavuka kabisa ila kwa upumbavu wake wa kuogopa watu amejipeleka kwenye kifo. Aisee mtu akikutukana kuwa Huna akili kama Kenge! Kajinyonge ni tusi baya sana.
Kenge ni mjinga!
 
Nakumbuka siku moja kuna kenge alikua anavuka barabara ya Lami, alivuka vzuri tu ila kwenye zile kingo za barabara alishindwa kupanda na kwakuwa alituona sisi tunapita yaani tunaelekea lilipo basi likarudi barabarani tena likawa linataka kukimbilia kwenye uvungu wa Coast iliyokua inatembea, likakutana na tyre la Gari likapasuliwa utumbo wote nje. Jamaa mmoja alikuwa nyuma yangu alisikitika sana kwamba huyu kenge mjinga sana yaani alikuwa keshavuka kabisa ila kwa upumbavu wake wa kuogopa watu amejipeleka kwenye kifo. Aisee mtu akikutukana kuwa Huna akili kama Kenge! Kajinyonge ni tusi baya sana.
Kosa siyo la kenge,kosa ni binadamu anayempiga pasipo sababu,aliwaza na nyie na walewale,mlitakiwa kumsaidia kwa kujifsnya hamna habari naye au kusimama tu!!
 
Nakumbuka siku moja kuna kenge alikua anavuka barabara ya Lami, alivuka vzuri tu ila kwenye zile kingo za barabara alishindwa kupanda na kwakuwa alituona sisi tunapita yaani tunaelekea lilipo basi likarudi barabarani tena likawa linataka kukimbilia kwenye uvungu wa Coast iliyokua inatembea, likakutana na tyre la Gari likapasuliwa utumbo wote nje. Jamaa mmoja alikuwa nyuma yangu alisikitika sana kwamba huyu kenge mjinga sana yaani alikuwa keshavuka kabisa ila kwa upumbavu wake wa kuogopa watu amejipeleka kwenye kifo. Aisee mtu akikutukana kuwa Huna akili kama Kenge! Kajinyonge ni tusi baya sana.

Mbona kama wewe na huyo jamaa ndio mlikosa akili kwa kumuona mnyama aliyenyimwa utashi kua hana akili?
 
Kosa siyo la kenge,kosa ni binadamu anayempiga pasipo sababu,aliwaza na nyie na walewale,mlitakiwa kumsaidia kwa kujifsnya hamna habari naye au kusimama tu!!
Aaah we jamaa are you serious hivi ukimwona chui kanasa kopo kichwani utadhubutu kumtoa kweli japo unania njema ya kumsaidia
 
Mkiwaendekeza wazungu mtadharaulika sana nyinyi msio na ufahamu. Kila siku ni wishes tu tena za hovyohovyo..., hivi hamjiongezi nyinyi?!
 
Mbona kama wewe na huyo jamaa ndio mlikosa akili kwa kumuona mnyama aliyenyimwa utashi kua hana akili?
Unataka kusema nini ndg? Sisi tulikua tunapita Service Road yaan mkabala na ule mto Msimbazi,sasa ulitaka tufanyeje kwa mfano? Tusimame hadi apande pale kwenye ile kingo? Mkuu yule kenge angekua na akili angepita pembezoni mwa barabara na siyo kukimbilia uvunguni mwa Gari inayotembea tena kwa speed na hatimae kupasuliwa tumbo. Hebu Acha ukenge mkuu
 
Unataka kusema nini ndg? Sisi tulikua tunapita Service Road yaan mkabala na ule mto Msimbazi,sasa ulitaka tufanyeje kwa mfano? Tusimame hadi apande pale kwenye ile kingo? Mkuu yule kenge angekua na akili angepita pembezoni mwa barabara na siyo kukimbilia uvunguni mwa Gari inayotembea tena kwa speed na hatimae kupasuliwa tumbo. Hebu Acha ukenge mkuu
Kwa maelezo haya imedhihirisha wewe ni hamnazo kabisaaa, kheir hata yule Kenge aliyejaribu kuvuka barabara kwa mara nyingine.....
Jikague kama mkia haujakuota
 
Back
Top Bottom