Hivi umadhani sehemu kama Congo, pale luna silaha yoyotw ya maana inatumika,ile vita ni vile vifaa vilivyokuwa outdated ndio vinatupwa pale,ndio maana inakuwa ya kuviziana.Hamna technology yoyote ya maana pale,iko kienyeji mno,ukianza na Maimai mpaka kule kwa Kagame,yaani imekaa kiusanii mno.