Lengo la vita ni nini?

"chuma hunoa chuma"

lengo la vita ni kuonyeshana ubabe tu.Na hatimaye kupatikana mfalme wa kaya.
 
Vita(hasa visivyoepukika/vya lazima) vinatakiwa kutokea katika mazingira yafuatayo:-
1. Njia zingine za kutafuta amani zimeshindikana na madhara yanaendelea.
2. Idadi ya watakaokufa vitani isizidi ile ya waliokufa kabla.

Mengine waongezee wengine waongezee.
 
Vita ni matokea ya pande mbili zinazohitilafiana kukosa suluhisho ya jambo fulani wakati jambo hilo linahitaji suluhu
 
Wao wanachojali ni kuuza hata kama ni outdated weapon, halafu wanabeba madini ya DRC
 
Well said broo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…