Wako busy kukamata magari ya usafiri. Hivi ndio iliundwa kwa lengo hilo. Wako busy kuchukua rushwa. Hivi sasa ni ngumu kujua maana kila mtu anabugudhi wafanyabiashara ya kusafirisha watu Dar.
Kifupi polisi anakamata gari, Trafiki anakamata gari, LATRA wanakamata gari.
Serikali, Mkuu wa mkoa Dar tafadhali lindeni wafanyabiashara.
Kifupi polisi anakamata gari, Trafiki anakamata gari, LATRA wanakamata gari.
Serikali, Mkuu wa mkoa Dar tafadhali lindeni wafanyabiashara.