Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 127,936
- 244,517
Wadau wengi wanajiuliza kisa cha wasomi wa nchi hii kujitoa akili na kufanya njama ili kuvuruga uchaguzi wa Meya ni nini ?
Hivi watu walioshindwa kuleta maendeleo kwa miaka 60 wataweza vipi katika kipindi kifupi cha miaka mitano ?
Ama lengo lao ni kuhakikisha ufisadi katika zabuni za jiji ( ikiwemo UDA ) vinalindwa na kufichwa kwa udi na uvumba ?
Kwa maoni yangu na hata kwa ukweli kutoka tume ya uchaguzi ccm ilishindwa vibaya sana uchaguzi jijini DSM , hivyo inalazimika ama ilazimishwe kukabidhi madaraka kwa washindi , vinginevyo itaabika vibaya sana !
wadau karibuni tujadili .
Hivi watu walioshindwa kuleta maendeleo kwa miaka 60 wataweza vipi katika kipindi kifupi cha miaka mitano ?
Ama lengo lao ni kuhakikisha ufisadi katika zabuni za jiji ( ikiwemo UDA ) vinalindwa na kufichwa kwa udi na uvumba ?
Kwa maoni yangu na hata kwa ukweli kutoka tume ya uchaguzi ccm ilishindwa vibaya sana uchaguzi jijini DSM , hivyo inalazimika ama ilazimishwe kukabidhi madaraka kwa washindi , vinginevyo itaabika vibaya sana !
wadau karibuni tujadili .