Mimi Sexless kazi yangu kubwa hapa mjini ni ukungwi. Natoa ushauri na kusaidia watu wa rika zote kutatua changamoto za mahusiano. Leo nimefikwa na mteja akanipa maelezo yafuatayo:
"Kuna siku nilikosea namba akapokea msichana, kwa bahati alikuwa mji ninaoishi. Mahusiano yakanzia hapo. Bado mdogo kiumri na hana mtoto, hajaharibiwa na mifumo ya maisha ya mjini. Hana vizinga wala hana makuu. Mm nikawa nakula mara moja moja.
"Dada aliishia form 2 (b), anajua kusoma na kuandika. Lkn akiandika sms hata mwandiko wa mke wa Babalevo una afadhali.
"Njoo kwenye mahesabu ya pesa sasa, hata kutoa chenji hawezi. Kuna siku kaja dukani kwangu, mteja katoa elfu 5 halafu kanunua soda 3 za 700 kila moja, akamrudishia 3500.
"Mimi kuona hivyo hata hamu ya kumuona ikanitoka. Utampa kazi gani mwanamke kama huyu? Mtafanya mishe gani na mwanamke kama huyu? Ana nidhamu, ana heshima na kila kitu lakini amekaa kienyeji mno.
"Bahati mbaya kanasa ujauzito na hataki kuutoa, na kwao kanitaja. Japo kwao hawanifahamu. Nifanyeje?"
Kungwi Sexless na mm naombeni mawazo ya kumshauri mteja wangu huyu.
"Kuna siku nilikosea namba akapokea msichana, kwa bahati alikuwa mji ninaoishi. Mahusiano yakanzia hapo. Bado mdogo kiumri na hana mtoto, hajaharibiwa na mifumo ya maisha ya mjini. Hana vizinga wala hana makuu. Mm nikawa nakula mara moja moja.
"Dada aliishia form 2 (b), anajua kusoma na kuandika. Lkn akiandika sms hata mwandiko wa mke wa Babalevo una afadhali.
"Njoo kwenye mahesabu ya pesa sasa, hata kutoa chenji hawezi. Kuna siku kaja dukani kwangu, mteja katoa elfu 5 halafu kanunua soda 3 za 700 kila moja, akamrudishia 3500.
"Mimi kuona hivyo hata hamu ya kumuona ikanitoka. Utampa kazi gani mwanamke kama huyu? Mtafanya mishe gani na mwanamke kama huyu? Ana nidhamu, ana heshima na kila kitu lakini amekaa kienyeji mno.
"Bahati mbaya kanasa ujauzito na hataki kuutoa, na kwao kanitaja. Japo kwao hawanifahamu. Nifanyeje?"
Kungwi Sexless na mm naombeni mawazo ya kumshauri mteja wangu huyu.