Alumbwagweumutwa
Member
- Jan 7, 2013
- 68
- 24
Hakuna mwanasiasa mnafiki na mwenye nyodo kama lembeli. Inawezekana amehisi chama chake hakiwezi hata kudiriki kumpitisha ndiyo maana ameanza kuhaha.
Hakuna mtu anayeitwa lembeni hapa tanzania
Kwani yeye ana hati miliki ya jimbo hilo?
Hapaswi kupingana na taasisi yake adharani. Kama hukubaliani nayo ondoka siyo kuitishwa kana kwamba wewe ndiyo mwenye hati miliki ya jimbo.Sio Suala La Hati Miliki Ila Kupinga Ukoloni Mamboleo. Unaitikia Kila Lisemwalo Na Chama Ni Bora Kuukosa Ubunge Kuliko Kua Bendera Fwata Upepo
Hakuna mtu anayeitwa lembeni hapa tanzania
Nami nilimsikia akisema hayo maneno kupitia ITV. Kimsingi huyu baba yuko vizuri. Mi namkubali sana. Akienda chama chochote lazima atarudi bungeni
Hakuna mwanasiasa mnafiki na mwenye nyodo kama lembeli. Inawezekana amehisi chama chake hakiwezi hata kudiriki kumpitisha ndiyo maana ameanza kuhaha.
Ndo hao sasa miongoni mwa wale40 wa zito,sasa mshaanza kuamini maneno ya zito anamaanisha eeh
Hakuna Cha Ajabu Siasa Ziko Hivyo Kuna Wanasiasa Wanaweza Kusimama Kwa Uwezo Wao Bila Kutegemea Chama Watu Makundi Binafsi Nawakubali Sana Kwan Anakua Hata Na Sauti Ya Kukikosoa Hata Chama Cpendi Wanasiasa Mazuzu Wa Vyama Vyao Coz Chama Sio Dini But Performance Kikishndwa Kuleta Matokeo Kiadhibiwe Ikiwemo Kukimbiwa.
Lema: "Lembeli + Nyarandu + Msigwa" = Mafinga matatu.
Hawa jamaa ni wapiga madili sana. Katika baadhi ya vikao vya bunge lililopita, ilijulikana Tz imepoteza mabilioni ya hela kutokana na tozo katika Idara ya Wanyama Pori kwa sababu hawa jamaa walikuwa wanashirikiana na wenzi wa wanayama wetu.
Tuangalie, kwanza kama anafaa popote.