Ng'wanapagi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2013
- 9,116
- 8,658
Lembeli ni moja ya wabunge wanaonifanya niendelee kuwa mwana CCM.
Nilitaka kusikia nini maoni na michango ya wanaJF.Nikushukuru wewe umechangia kwa kuliza swali na nimekujibu.
Kama hujaridhika na jibu uliza swali la nyongeza. Angalizo unapo uliza swali la nyongeza ili ujibiwe na usitoke nje ya maada kama hii swali ni lilo jibu, sharti la kuuliza swali la nyongeza uanze na kibwagizo,"kwa kuwa".
Mkuu usipoteze muda wako kujibishana na jitu lenye jinsia mbili.
Ni pale mh huyu anapo watishia viongozi wakuu wa chama chake kwamba wa jaribu kukata jina lake kwenye wagombea wa ubunge waone kitakachotokea.
Pia kama hiyo haitoshi kuwa shawishi wapiga kura wa jimboni kwake kuchagua mtu na si chama.
Haya anafanya kwenye mikutano ya hadhara na si katika vikao rasmi vya chama. Nina haki angekua Mznz kama Moyo angesha fukuzwa. Hapa Utanganyika wake ndio una mbeba.
Lembeli anapendwa sana Kahama Chama chochote akienda atashinda tu., jamaa ni jembe kama Filikunjombe, Kuna tetesi kua jina lake litakatwa na Mkuu.
Kama anasifa zote hizi mbona kangangania chama cha mafisadi.