Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
As long as hawa Wazee wataendelea kungangania madaraka serikalini na kwenye Chama tawala..vijana wasomi andikeni mumeumia....hamtapata ajira kabisa.solution wazee watoke vijana muanze kazi..Hivi Mzee Msekwa...Mzee Malecela...Kingunge bado wapo kazini???? Sasa hata busara zao hazitakiwi na vijana tena.STEP ASIDE PLEASE
Mkuu ulilosema ni ukweli mtupu ila sasa kwa ccm utaonekana ni adui nambari moja.