Lembeli; CCM si mama yangu
Lembeli ngoja nikukumbushe ccm imekufikisha ulipo, wakati ukigombea Ubunge kupitia ccm uliapa kulinda katiba yake yenye muundo wa serikali mbili,leo unabadika. Hivyo ni sawa na kumuasi mama yako aliyekubebea mimba miezi tisa akakuzaa, kukutunza,kukulea na kukuongoza.
Baada ya kuongozeka akasema ni ujanja na kuamua kumkasifu mama yako na kupinga kila analokuelekeza na mbaya zaidi wadogo zako nap ukawafundisha kumuasi mama yenu.
Hakika laana haitakuacha! Wako wapi? Augustine Mrema, John Shibuda, G55 na engine, niwewe Lembeli ulikuwa ukikashifu uponzani upinzani leo unabadilika.
Rais Paul Kagame aliwaambia kina Gen Nyamwasa na Patric Kalegeya Rwanda ndio imewafikisha hapo mlipo, Rwanda itawasaka popote mlipo na kwa kuwa mumeamua kuishi kama Mbwa na mtakufa kama Mbwa.
Ushauri wangu Lembeli sikiliza na fuata maamuzi ya CCM kwani ndicho kumekufisha ulipo na utakapo hama chama nenda katetee ue