Lembeli apinga matokeo Mahakamani

Lembeli apinga matokeo Mahakamani

inawezekana maeneo mengi sana kanda ya ziwa ccm walichakachua kwenye ubunge...

si kweli! sisi wasukuma tunaakili,hatudanganyiki hivi hivi na ndiomaana tumeipigia ccm kwanzia wabunge mpaka Raisi,hapo ndio mjuwe kuwa lake zone ni ccm tupu,wachache tu wasiyokuwa na elimu wakaipigia ukawa.
 
James mbatia alikamata kura feki , watuhumiwa pamoja na mzigo wote vikapelekwa polisi , asubuhi yake hakuna watuhumiwa wala mzigo , unajua kwanini ? Nakuhakikishia kwamba zaidi ya wabunge 80 wa ccm watang'olewa mahakamani , tangu nizaliwe sijawahi kuona uchakachuaji wa kishamba namna hii !

Lembeli naye alikamata kura feki :what:
 
Je zilikuwa halali ? Hivi wewe na akili yako unaamini kabisa wananchi wanaweza kumchagua kishimba na wamuache mheshimiwa lembeli ?

Mkuu unabishana na Watu ambao hata Kahama hawapajui na hawajui siasa za Kahama ni Lembeli tu.
 
huyu lembeli bwana!, kuna siku alisimama jukwaani hapa Kahama akasema yy hapaswi kushindana na kishimba, akadai type yake ya ushindani ni Magu, sasa mpaka leo haamini kilicho tokea.

hata kama ni magu angetupiliwa mbali tu!
 
Huyu jamaa alizidiwa zaidi ya kura elfu ishirini sijui atazipata wapi.

Duh, aisee nyingi sana. Ila pengine ana sababu zingine kwani huwa kuna sababu nyingi tu za kutengua matokea. Ile kesi ya Kaboruu na premji kule kigoma, ubunge wa premji ulitenguliwa kwa vile tu mawaziri walienda kumpigia kampeni premji wakiwa na magari ya serikali. So hebu tusubiri tuone hoja ni nini.
 
Samahani mkuu hiv mshindi akipata Kura 10,000 na mtu wa pili akipata Kura 3,000 na pia kama yule mtu wa pili kuna sehemu hakupeleka mawakala je kuna uwezekano wa mtu wa pili ambaye ana Kura 3,000 kwenda mahakamani kupinga ushindi wa mwenye Kura 10,000..?

Ok. Elewa kuwa kisheria sababu za kutengua ushindi ni nyingi, sio mambo ya kuzidiwa kura tu.
 
James mbatia alikamata kura feki , watuhumiwa pamoja na mzigo wote vikapelekwa polisi , asubuhi yake hakuna watuhumiwa wala mzigo , unajua kwanini ? Nakuhakikishia kwamba zaidi ya wabunge 80 wa ccm watang'olewa mahakamani , tangu nizaliwe sijawahi kuona uchakachuaji wa kishamba namna hii !

erythro katika ubora wake.. yuko tayari kusema kinyesi ni hamburg ili tu kuitetea chadema yake
cc
Dr slaa rais wa mioyo yetu mpaka dr mihogo
 
erythro katika ubora wake.. yuko tayari kusema kinyesi ni hamburg ili tu kuitetea chadema yake
cc
Dr slaa rais wa mioyo yetu mpaka dr mihogo

Hayo umeropoka wewe , mimi sihusiki mkuu .
 
Back
Top Bottom