ashindwe mara ngapi? usiwe kichekesho mkuu.
Embu tuvute subiraa, ni ngumu kuamini Lembeli kushindwaa ubungee!!!
Embu tuvute subiraa, ni ngumu kuamini Lembeli kushindwaa ubungee!!!
Wala usishangae,Lembeli katumia muda wake mwingi kula nchi kupitia kamati ya bunge ya utalii yeye ilikuwa kila kukichwa ni mguu na njia,pia asiposafiri utakuta yupo Arusha akila nchi,Kahama ni sehemu ya kwenda kumuona mama yake tu na kuomba kuraEmbu tuvute subiraa, ni ngumu kuamini Lembeli kushindwaa ubungee!!!
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini (CHADEMA ), James Lembeli amefungua kesi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa CCM, Jumanne Kishimba. Lembeli anawakilishwa na Joachim Hamis wa kampuni ya Mpoki & associates Advocates ya Dar es salaam , hii kesi si ya kukosa , itakuwa ni ya kusisimua sana !
Mzee wa nyeti za kuku at his best!Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini (CHADEMA ), James Lembeli amefungua kesi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa CCM, Jumanne Kishimba. Lembeli anawakilishwa na Joachim Hamis wa kampuni ya Mpoki & associates Advocates ya Dar es salaam , hii kesi si ya kukosa , itakuwa ni ya kusisimua sana !
Mzee naona nyeti za kuku zimeachwa wazi baada ya upepo mkali wa JPM kupuliza..
Mkuu lembeli si mwehu , amekwenda court akiwa na uhakika wa kilichofanyika , kuna kitu wadau hawakijui .
Hivi alizidiwa kwa kura ngapi zilizotangazwa na nec!? Ni nini hasa hoja iliyopo ya kupinga huo ushindi, nadhani wa Kishimba!
James Lembeli Mwana Maria ndio Chaguo letu wana Kahama, huyo Kishimba atajijua na Mkapa na Mapolisi CCM wao kwa kile walichokifanya wakati wa Uchaguzi tunakijua. Kishimba hatakaa aitishe hata Mkutano hapa Kahama yetu na yeye anajua na hata uhuru hana.
Lembeli hana lake. Aibu yake huyoooo anajisumbua tu. Hashindi kesi katu.
uwezo wako wa kufikiri ndo umeishia hapo.Hata kwa Lowassa walisema hivo hivo...
Hadi wakadai wameenda mahakama ya kimataifa ya ICJ