Lembeli apinga matokeo Mahakamani

Lembeli apinga matokeo Mahakamani

mwenyewe anajua alishindwa, ndio maana alisema ataendelea na shughuli zake nyingine akakanusha na kashfa alizokuwa anazushiwa mwezi sasa umepita. Hapa labda kama anataka kufurahisha watu vingenvyo huwa sielewi kwa nini ccm hawapendi kuachia maeneo yenye migodi
 
Embu tuvute subiraa, ni ngumu kuamini Lembeli kushindwaa ubungee!!!
Wala usishangae,Lembeli katumia muda wake mwingi kula nchi kupitia kamati ya bunge ya utalii yeye ilikuwa kila kukichwa ni mguu na njia,pia asiposafiri utakuta yupo Arusha akila nchi,Kahama ni sehemu ya kwenda kumuona mama yake tu na kuomba kura
 
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini (CHADEMA ), James Lembeli amefungua kesi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa CCM, Jumanne Kishimba. Lembeli anawakilishwa na Joachim Hamis wa kampuni ya Mpoki & associates Advocates ya Dar es salaam , hii kesi si ya kukosa , itakuwa ni ya kusisimua sana !

Shida ya mahakama zetu ni kwamba akina akison tulia wamejaa huko!!!!
 
Aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo la Kahama Mjini (CHADEMA ), James Lembeli amefungua kesi mahakama kuu ya Tanzania kanda ya Shinyanga kupinga matokeo yaliyompa ushindi mgombea wa CCM, Jumanne Kishimba. Lembeli anawakilishwa na Joachim Hamis wa kampuni ya Mpoki & associates Advocates ya Dar es salaam , hii kesi si ya kukosa , itakuwa ni ya kusisimua sana !
Mzee wa nyeti za kuku at his best!
Ataiota CCM aliyoisaliti.
attachment.php
 
Mkuu lembeli si mwehu , amekwenda court akiwa na uhakika wa kilichofanyika , kuna kitu wadau hawakijui .

Hata kwa Lowassa walisema hivo hivo...
Hadi wakadai wameenda mahakama ya kimataifa ya ICJ
 
Yale malori ya kura feki kuelekea mikoani yaliwabeba sana wabunge WA ccm/
ILI KUSHINDA KESI
********************
KOPI ZA NAKALA ZA WASIMAMIZI
KAMA USHAHIDI!MUHIMU/
 
James Lembeli Mwana Maria ndio Chaguo letu wana Kahama, huyo Kishimba atajijua na Mkapa na Mapolisi CCM wao kwa kile walichokifanya wakati wa Uchaguzi tunakijua. Kishimba hatakaa aitishe hata Mkutano hapa Kahama yetu na yeye anajua na hata uhuru hana.
 
Loading.......Komaa Mwana MAria kupata haki yako
 
Hivi alizidiwa kwa kura ngapi zilizotangazwa na nec!? Ni nini hasa hoja iliyopo ya kupinga huo ushindi, nadhani wa Kishimba!

Samahani mkuu hiv mshindi akipata Kura 10,000 na mtu wa pili akipata Kura 3,000 na pia kama yule mtu wa pili kuna sehemu hakupeleka mawakala je kuna uwezekano wa mtu wa pili ambaye ana Kura 3,000 kwenda mahakamani kupinga ushindi wa mwenye Kura 10,000..?
 
Lembeli hana lake. Aibu yake huyoooo anajisumbua tu. Hashindi kesi katu.
 
James Lembeli Mwana Maria ndio Chaguo letu wana Kahama, huyo Kishimba atajijua na Mkapa na Mapolisi CCM wao kwa kile walichokifanya wakati wa Uchaguzi tunakijua. Kishimba hatakaa aitishe hata Mkutano hapa Kahama yetu na yeye anajua na hata uhuru hana.

haya ndio nikitegemea ayazungumzue baada ya uchaguzi lkn ule ukimya wake inaonekana kama hakupotezea walikubaliana au alibanwa ktk maslahi yake pia.
lkn kishimba na yeye kawekeza kwa wananchi sio mtu wa kimchukulia poa japo upstairs hamkaribii mzee lembeli.
 
Tunaamini mahakama itatendeka.
Haki ya mtu inaweza kucheleweshwa lakini siyo kupotea kila la Lembeli mbunge unasubiri kutangazwa
 
huyu lembeli bwana!, kuna siku alisimama jukwaani hapa Kahama akasema yy hapaswi kushindana na kishimba, akadai type yake ya ushindani ni Magu, sasa mpaka leo haamini kilicho tokea.
 
Back
Top Bottom