Lembeli akataa kubadili msimamo

Lembeli akataa kubadili msimamo

Lembeli alikua mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira uliza sasa alichokifanya akiwa mwenyekiti teh teh teh mzigo huo arudishe fedha za Mgodi wa North Mara kwanza alizokuwa anapewa kupotosha umma!

nikafikiri siku hizi umekua senior kumbe bado junior
 
Mwizi tu akiwa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira alikua anakwenda Mgodi wa North Mara kuchukua bahasha za hela na kulidanganya bunge utiririshaji wa maji ya Sumu mto Mara kule North Mara eti leo mnamuita jembe teh teh teh uwiii kweli CDM pango la wahamiaji haramu aende tu maana huku angekatwa tu!!

Kwanini hayo usingeyasema kabla hajarudisha kadi?
 
Hakuna anayewajua vizuri kunguni wa kitanda kama anayekilalia. Lembeli endelea kutuhabarisha kunguni waliopo kwenye kitanda cha ccm
 
Hiyo kauli ya riz 1 itawagharimu sn magamba.ni kauli za kibabe zilizotoka kny kinywa cha baba yake wakati wakiwa kwenye meza moja.
 
Bora akatae kubadili msimamo asigeuke jiwe la chumvi.
 
Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana
Edo alisema Kipaumbelle chake ni elimu AKAKATWA, sasa sijui nani atatusaidia kujifunza kiswahili. Samahani au siyo mtanzania?
 
Mbunge wa Kahama, James Lembeli, sasa ametimkia rasmi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Taarifa zinasema, Lembeli anatarajiwa kujiunga na chama hicho asubuhi hii, jijini Dar es Salaam. Lembeli atatangaza uamuzi huo, katika ukumbi wa Ubungo Plaza.
 
Huyu lembeli c ndo mamvi part ii hadi kwenye nyusi,kwa taarifa zisizo rasmi ni kuwa sisiem inataka kuhakkisha hakuna mbunge alietoka kwao kwenda upinzani atakaerudi bungeni kwa namna yeyote ile kaz kwao.
Hawa ccm noma, ukiwa mamvi tu, unakatwa.
 
Sasa nimeamini kumbe kweli 2010 vigogo wengi walitaka kuitosa CCM na kuhamia CDM ila mazingira yakakataa, naona mwaka huu wameona liwalo na liwe, utumwa sasa basi.
 
Karibu sana kwenye ukombozi Lembeli bado Esther Bulaya
 
Mbunge wa Kahama, James Lembeli, sasa ametimkia rasmi, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Taarifa zinasema, Lembeli anatarajiwa kujiunga na chama hicho asubuhi hii, jijini Dar es Salaam. Lembeli atatangaza uamuzi huo, katika ukumbi wa Ubungo Plaza.

Mkubwa, you are better than this... Hizo bolded statements mbili mbona kama zinakinzana..???
 
Mwenye Enzi Mungu atupe nguvu na maamuzi wananchi ili tuwape ujasiri viongozi kama Lembeli kuendelea kufanya maamuzi wakiamini wanapata uungwaji mkono na Wana wa nchi, Amina
 
It is happening now! They will have to feel it. Hitting them hard nonstop kuanzia leo.
 

Attachments

  • 1437465524339.jpg
    1437465524339.jpg
    15.5 KB · Views: 266
Back
Top Bottom