Lembeli akataa kubadili msimamo

Lembeli akataa kubadili msimamo

Wasiwasi wangu ni kuwa hawa majeruhi wa CCM wasiwe ndio akina Shibuda na Mzee Arfi
 
Mkubwa, you are better than this... Hizo bolded statements mbili mbona kama zinakinzana..???

Lakini message received!

Kwani usingetaja neno mbili mtu asingejua kuwa bolded statement ziko mbili? You'rent better than this!
 
Huyu jamaa hewa tu anajua hakuna alichofanya kwa watu wa jimbo lake sasa anahangaika ila atapoa tu msipate shida kabisa ni mwanasiasa mwepesi mla rushwa flani ambaye alitegemea kubebwa na Lowasa.
 
Lakini message received!

Kwani usingetaja neno mbili mtu asingejua kuwa bolded statement ziko mbili? You'rent better than this!
Unaweza ukawa sahihi, lakini tunatakiwa tuwe makini na tunayoyaandika...
 
Huyu jamaa hewa tu anajua hakuna alichofanya kwa watu wa jimbo lake sasa anahangaika ila atapoa tu msipate shida kabisa ni mwanasiasa mwepesi mla rushwa flani ambaye alitegemea kubebwa na Lowasa.
Hebu elezea jimbo lake na mapungufu yake tupate kumchambua vyema
 
Miti ya kijani inazidi kupukutika tu, tutaona menti hadi october 2015.
 
Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana

Kiongozi kule tarime unatokea sehemu gani....

Maana wenzetu wa kule kutofautisha l na r ni shida kuubwa
 
hatuishi kwa fikra mgando 'HUKO ULIKO SIKO NILIKO LIKO ZINDIKO YATAKA MOYO'
 
Shibuda alihamia CDM nako kumemshinda yupo Tadea..Ugopa sana kama UKOMA viongozi wanaohama vyama kwa ajili ya kutafuta uongozi
 
Back
Top Bottom