Arie power
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 2,552
- 1,020
Lembeli si alishawahi kuwa waziri kipindi Fulani? Au kumbukumbu zangu haziko sawa...
Lembeli si alishawahi kuwa waziri kipindi Fulani? Au kumbukumbu zangu haziko sawa...
sikumbuki vizuli hila hawa wote ni wale wasiweza kwenda na kasi ya magufuli ,acha wapumzike ,
Rais wa JMT Hawezi Kamwe Kutoka Kaskazini.
Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana
good good twenzetu M4C...!!!mi narudi kusini mwaka huu mpk kieleweke
ccm wanatia huruma
Unatafutwa uhamiaji
Rais wa JMT Hawezi Kamwe Kutoka Kaskazini.
good good twenzetu M4C...!!!mi narudi kusini mwaka huu mpk kieleweke
naona alikuwa anaogopa KUKATWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA.
Rais wa JMT Hawezi Kamwe Kutoka Kaskazini.
keshaondoka na wengi
Ukikiuka tu kwisha
Kauli ya khamis mgeja imenichekesha sana. Eti kwa sasa yupo mapumziko baada ya dhoruba kali ya kukatwa jina la Lowassa.
Anamtishia nani.aondoke tu wananchi wa kahama wataamua mbunge wao Oktoba 25.