Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Isingekuwa hayo madogoli aliyopigiwa angerudi CCM?!?![/QUOTGear ya kutokea kwenye matope
Isingekuwa hayo madogoli aliyopigiwa angerudi CCM?!?![/QUOTGear ya kutokea kwenye matope
Amani ni tunda la Haki, pasipo haki hakuna amani(Reference be kept to Ccm)
Lembeli si alishawahi kuwa waziri kipindi Fulani? Au kumbukumbu zangu haziko sawa...
Lembeli hajawahi kuwa waziri!..Lembeli si alishawahi kuwa waziri kipindi Fulani? Au kumbukumbu zangu haziko sawa...
UnawachokozaRais wa JMT Hawezi Kamwe Kutoka Kaskazini.
Lembeli hajawahi kuwa waziri!..
Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana
Rais wa JMT Hawezi Kamwe Kutoka Kaskazini.
Kauli ya khamis mgeja imenichekesha sana. Eti kwa sasa yupo mapumziko baada ya dhoruba kali ya kukatwa jina la Lowassa.
imekura kwake. akawarehe watoto wake, anatengemea nguvu za kimira sana- we ngosha?Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana
Leo hii kauri yao inawatesa
Mgeja anafurahia kimoyomoyo!
Kauri=kauli
imekura kwake. akawarehe watoto wake, anatengemea nguvu za kimira sana- we ngosha?
Kwa kahama ninavyojua hata akienda chama kingine ccm hawata hachia hilo jimbo imekura kwake akapumzike mapema kabisa ,akawarehe watoto wake,maana anatengemea nguvu za kimira sana