Kama umemmiss mfate kwake...Nchi inawapuuzi wanafiki hii wanataka kuskiliza ujinga wa machawa hawataki elimu ya kuwavusha kimaisha ndomana kauli zilizotamba zoote ni za machawa na vitoto vijinga LAKINI kauli za kujenga nchi na kupinga dhulma hazionekani za maana, poor Country.
Kauli za katiba mpya,chaguzi huru,kilimo chakisasa,elimu Bora hazinamashiko watu wanataka "nahapa ipoo kichogo ka zuchu" pumbafu kabisa.