aminangalo
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 974
- 190
Mbunge wa Arusha mjini ameahirisha kwenda Bungeni na kuanza kuzunguka kujibu mikutano ya hadhara iliyofanywa na UVCCM Arusha haswa wa soko kuuu Arusha.
Mbunge wa Arusha mjini ameahirusha kwenda Bungeni nakuanza kuzunguka kujibu mikutano ya hadhara iliyofanywa na Uvccm Arusha haswa wa soko kuuu Arusha
Haya bwana "ameahirusha"
Kama ni movie, Mbowe ni kubwa la maadui - FaizaFoxy
Kimenuka!
Kama ben anavyojikweza ndanimya cdmMnapenda kujikweza
Kama ben anavyojikweza ndanimya cdm
Mbunge wa Arusha mjini ameahirisha kwenda Bungeni na kuanza kuzunguka kujibu mikutano ya hadhara iliyofanywa na UVCCM Arusha haswa wa soko kuuu Arusha.
Picha za kurugenzi ya habari chadema. Za kahama bado sijaziona
Huna mpya usijitafutie umaarufu kwa kumtaja taka Dr. Slaa
Mnapenda kujikweza