Lema UVCCM Arusha yamnyima kwenda Bungeni

Lema UVCCM Arusha yamnyima kwenda Bungeni

Mbona wewe nitatizo kwenye familia yenu wazazi wako wana lalamika umearibikia ukubwani. Mh Lema nichaguo la mungu na lawana Arusha.
 
slaa kigoma.jpg
 
Mbunge wa Arusha mjini ameahirisha kwenda Bungeni na kuanza kuzunguka kujibu mikutano ya hadhara iliyofanywa na UVCCM Arusha haswa wa soko kuuu Arusha.
sijawahi kuona mchango wa maana wa lema labda kutukana tu. kwa hiyo ni bora hiyo kazi anayoifanya inaweza kuwa na tija kuliko huko bungeni. I am sorry.
 
Lema yuko shallow sana kwenye mambo ya bunge, analielewa hilo na kuona bora ajihusishe na migomo na maandamano. Aende bungeni aaibike?!!!!!

Awaachie kina Lisu(mp), Silinde(mp) nk waende wale posho halali. Lema ni tatizo chadema

Hivi wanakwenda kufanya mambo ya bunge na si ya wananchi?

Sishangai kusikia mtanzania akisema anifia dini,badala dini ife kumsaidia yeye, analifanyia bunge kazi na zi wananchi kupitia bunge, matu anamfia na kuua ili kulinda sifa ya nabii..badala nabii afe ili kukuokoa wewe na wengine.

Si ajabu mkasema mtaka mbebe punda na si punda ikubebe, myake beba ndala na kutembea peku kuliko viatu vikanyage chini.

Tuna tofauti sana....Well umepatia kidogo Lema anaweza kufanya kazi za wananchi kwa ushirikian na wananchi
 
Back
Top Bottom