Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,889
- 32,289
Wanaukumbi.
Viongozi wa CHADEMA sasa hivi kama wameishiwa mbinu za kukijenga na kukiimarisha chama kama ilivyokuwa enzi za kina Prof. Safari, Dr Slaa, Zito Kabwe.
Mbinu na sera zilizobaki sasa ni kuwaomba wananchi michango ili watumie kwenda kuwaomba wazungu waiwekee vikwazo Tanzania.
Chadema wanatakiwa waitishe uchaguzi wa ndani wawape chama damu changa, wenye mbinu na mitazamo mipya
Chadema ya leo inwategemea wanaharakati ujanja ujanja kazi kudandia matukio.
Viongozi wa CHADEMA sasa hivi kama wameishiwa mbinu za kukijenga na kukiimarisha chama kama ilivyokuwa enzi za kina Prof. Safari, Dr Slaa, Zito Kabwe.
Mbinu na sera zilizobaki sasa ni kuwaomba wananchi michango ili watumie kwenda kuwaomba wazungu waiwekee vikwazo Tanzania.
Chadema wanatakiwa waitishe uchaguzi wa ndani wawape chama damu changa, wenye mbinu na mitazamo mipya
Chadema ya leo inwategemea wanaharakati ujanja ujanja kazi kudandia matukio.