Lema: Nitabeba zigo la mabilioni ya Uswisi

Lema: Nitabeba zigo la mabilioni ya Uswisi

Kumbe kusema ukweli ni akili za panzi??
Mbona jamaa zako huwa wanafuta thread ya hii ishu ikianzishwa, na kwa nini lema asisimame kukanusha, kusingiziwa kesi kama hii ni big issue kwa hiyo inabidi akanushe. Jamaa alitaka kubaka na mashahidi wapo , huyo jamaa its just a matter of time aibu kubwa itawakumba chadema.
Chama kinaongozwa na wezi wa wake za watu na wabakaji
halafu anajiita mwanaharakati kwa lipi?
 
Kwa hilo ntakuunga mkono,hapo ntakuita jembe maana hawa mafisadi wanatia kichef chefu,wengne bila hata ya aibu eti wanapiga kampeni chaf wanataka wagombee urais mwaka 2015,kutwa kutwa kuzunguka makanisani kutaka waonekane watakatif,kapambane jembe tuko pamoja.
 
ALIKUWA ANATAKA Kumbaka Flora Bahati Lyimo baada ya mkutano wa kufungua tawi london nasikia alinyweshwa pombe akawa chakari
Vipi bado mnahitaji details nyingine?
teh teh teh huyo lymo si kama dada yake tu lol kumbe hata wao hawapendani
 
teh teh teh huyo lymo si kama dada yake tu lol kumbe hata wao hawapendani

Mkubwa alipomuona jina la kwao akazani ndio wale wa huko bongo unawakamata kwa viroba, kumbe demu wa ulaya tofauti nasikia alipopiga kelele jamaa alitokja nduki kama mwizi
 
wanajeshi hupata kwa utumishi uliotukuka sasa nyinyi hata waimba taarabu makamanda ughh mnafikiri ukamanda ni tenesi eeeeh?
Mzee unaonekana unaishi dunia tofauti kabisa. We hujui kuwa kuna ukamanda wa kisiasa na kijeshi???Hilo ni jina tu linalolenga kutoa taswira fulani, lisikuchanganye. Ni sawa na kumuita mtu Jembe, haimaanishi yeye ni nyenzo ya kulimia. Wasalimie wote huko.
 
Mi nadhani ni vizuri Lema akawa focused na kuachana na hii excitement. Yeye bado issue ya PM kudanganya inamtosha tena ni kubwa kuliko hata hili la kuibiwa manake kama atafanikiwa, jambo ambalo liko wazi, inaweza ikalazimisha waziri mkuu kupigiwa kura ya kutokua na imani, na rais kulazimika kuvunja baraza la mawaziri. lakini cha msingi ni nani anayemfungulia mwigulu mashtaka kwa ushenzi anaoonekana kutaka kuufanya uonekane ukweli? chadema msilete mchezo tumeni majemedari wenu wa sheria wakamalizane nae, kwa wakati huu mahakama haitaki kunajisiwa huu ndio wakati wetu, lakini pia wanasheria wengine marafiki na wanachama wa chadema, na wale wote wenye uzalendo na nchi yetu kwa nini hamjiungi mkatukomoshea hizi takataka? mtu aliyekamatwa akilala ma mke wa kada wa chini kwenye kampeni igunga anapata wapi ujasiri wa kuchafua hali ya hewa hivi?
 
Mzee unaonekana unaishi dunia tofauti kabisa. We hujui kuwa kuna ukamanda wa kisiasa na kijeshi???Hilo ni jina tu linalolenga kutoa taswira fulani, lisikuchanganye. Ni sawa na kumuita mtu Jembe, haimaanishi yeye ni nyenzo ya kulimia. Wasalimie wote huko.

mabua tu ukamanda haupatikani kwa kupiga kelele za jukwaani
 
mabua tu ukamanda haupatikani kwa kupiga kelele za jukwaani
Mbona unaonekana kama unahasira na hilo jina la ukamanda na unakerwa na Lema kuitwa kamanda?? wewe wapi huelewi km Lema anadisplay properties za kikamanda????Unaonekana hutaki kuelewa kuwa ukamanda wa kisiasa na wa kijeshi ni vitu tofauti.

Makamanda wa kisiasa ni mapigania ukombozi wa wananchi kupitia medani ya siasa. Makamanda wa kijeshi niwapigania ukombozi kupitia medani za kivita. So wote hawa ni wapiganaji ila wanatumia methods tofauti. Ndo mana wapembuzi wa mambo wameona it worth to call them Political Commanders. Hawa makamanda hata kwenu mbona wapo??Sema tofauti ya kwenu na huku ni kwamba wa kwenu wanaulinda ufisadi na wa kwetu wanaupinga ufisadi.
 
Lema anataka umaarufu wa muda. Anajua kabisa bunge lijalo ni lazima serikali watoe jibu la uchunguzi wanaufanya.
 
Hebu ondosha mawazo yako ya kitoto hapa usije nisababishia Mi ban bure,,,,,,,,,,,,,,,,,,member kama huyu ni jamii ya kina Ritz na lile genge lake!!!!!!
Ahadi ni deni, kama alihaidiwa, tunawajibu kuuliza. Utoto ni huo kuogopa kufuatilia ahadi, get up and stand up. FOOL
 
wanajeshi hupata kwa utumishi uliotukuka sasa nyinyi hata waimba taarabu makamanda ughh mnafikiri ukamanda ni tenesi eeeeh?
unashangaa ukamanda, mbona idocta mtu anaupata bila kuusomea?
 
Mbona unaonekana kama unahasira na hilo jina la ukamanda na unakerwa na Lema kuitwa kamanda?? wewe wapi huelewi km Lema anadisplay properties za kikamanda????Unaonekana hutaki kuelewa kuwa ukamanda wa kisiasa na wa kijeshi ni vitu tofauti.

Makamanda wa kisiasa ni mapigania ukombozi wa wananchi kupitia medani ya siasa. Makamanda wa kijeshi niwapigania ukombozi kupitia medani za kivita. So wote hawa ni wapiganaji ila wanatumia methods tofauti. Ndo mana wapembuzi wa mambo wameona it worth to call them Political Commanders. Hawa makamanda hata kwenu mbona wapo??Sema tofauti ya kwenu na huku ni kwamba wa kwenu wanaulinda ufisadi na wa kwetu wanaupinga ufisadi.
si mimi tu linatukera sana sababu mnashusha hadhi maana halisi ya ukamanda
 
si mimi tu linatukera sana sababu mnashusha hadhi maana halisi ya ukamanda
Wewe ni muwakilishi wa hao wanaokerwa??Mbona siwaoni hao wanaokerwa nakuona wewe tu??? Usipende kutumia wingi. Mimi nadhan haina shida inatumika sahihi kabisa. Kiongozi hivi unakumbuka definition ya Lugha?? Kwa mbaaaali sana nakumbuka nilisoma kuwa Lugha ni mfumo wa sauti za nasibu zilizokubaliwa na jamii ya watu zitumike kuwasiliana. So kwa mtazamo huo, lugha is subject to change responding to different events and time.

So tukikubaliana kuwa Viongozi wa Kisiasa tuwaite Makamanda na wote tukaona inafaa, basi ni sahihi kabisa, hivyo ndivyo Lugha inavyotanuka. Yatakuja mengi ya aina hii kaka usipokuwa makini utakereka mara nying sana. Hutofaidi haya maisha.
 
hicho ni kipimo cha wanafiki kama ninyi mnaokuja na hoja bandia kujipatia umaarufu, sasa mmeleta hoja lakin mnaiogopa i mean mnakimbia kivuli chenu! Mpeni sasa mwanaume wa shoka hayo majina muone kazi.
Nyambaffffffffffffffff

Kazi gani wewe? Nyie msiyemjua Lema endeleeni kumpamba. Na pale mtakapokuja kumjua huyu tapeli na mbakaji ndipo mtakapoanza kukamatana uchawi kwani hata nyie watetezi wake mtachafuka.
 
Ha ha ha tunaomjua Lema ni sisi wana arusha, huyo ni kamanda hodar! kama mzee wako yuko kweny orodha ya uswis atatajwa!
 
Back
Top Bottom