Curriculum Specialist
JF-Expert Member
- Oct 8, 2007
- 2,732
- 750
Nasikia hawezi tena kwenda Uk kwa sababu anatafutwa kwa kesi ya kujaribu kubaka, kwa hiyo akikanyaga UK tu na ubunge ndio basi manake atafungwa na sizani kama katiba ya tanzania inaruhusu wahalifu kuwa wabunge
Mbona serikali ya CCM imejaaa wahalifu tu, wezi wa EPA, RADA, RICHMOND, MEREMETA, WAFICHA FEDHA USWISS, wezi wa pembejeo za kilimo, wahujumu uchumi! Mbona hawafutwi uongozi? Achana na Lema si saizi yako!