Lema: Nitabeba zigo la mabilioni ya Uswisi

Lema: Nitabeba zigo la mabilioni ya Uswisi

hicho ni kipimo cha wanafiki kama ninyi mnaokuja na hoja bandia kujipatia umaarufu, sasa mmeleta hoja lakin mnaiogopa i mean mnakimbia kivuli chenu! Mpeni sasa mwanaume wa shoka hayo majina muone kazi. Nyambaffffffffffffffff
mwambieni huyo lema wenu siasa sio mchezo wa komborela ajiheshimu
 
Mkuu, Liverpool, kumbe anayetaka kutaja naye yumo? Basi hii ni hatari kubwa. Na kama ndio hivyo ni kuwa Lema hawezi kupewa orodha hiyo, na akipewa itakuwa ya kichina.

Yetu macho na masikio.
 
Mbona wameshatajwa na Jason Bourne majina yao ni haya hapa

Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel

Source: Hawa ndio Watanzania walioficha fedha Uswisi « Jason Bourne
 
Tulipokuwa JKT kuna maafande walikuwa wakitutukana kwamba akili etu hazina ubongo bali zina kamasi. Hili neno lilikuwa likiniudhi sana. Nilishangaa inakuwaje mtu aliyeishia darasa la saba anadiriki kusema kuwa mtu aliyemaliza kidato cha sita tena akafaulu eti anatumia kamasi badala ya akili"
Lakini leo kwa hoja kama hizi, nafikiri wale maafande walikuwa right' Ndugu BK hebu pamoja na ushabiki na chuki zako kwa Lema basi utumie walau sehemu kidogo ya akili. "kama huna kabisa basi nyamaza ufiche unga wako"
Mwambie basi apande ndege aende UK halafu uone kama atarudi huko arusha
 
jamani tuwe serious na kuruhusu akil zetu kufanya kaz. Ivi Lema nae ni wa kutafutwa? Especially kwa ishu sirias tajwa? Labda sifaham maana ya kutafutwa
Kwa nini musimuulize mwenyewe? au waulizeni watanzania waishio UK hiyo sio siri tena kila mbongo anajua
 
Alitaka kukubaka wewe au mkeo?? hivi mbona huwa mnapenda kuchafua watu bila sababu?? baada ya kuandika uchafu wako hapa sasa unajisikiaje? mods vitu kama hivi vinastahili warning!!
ALIKUWA ANATAKA Kumbaka Flora Bahati Lyimo baada ya mkutano wa kufungua tawi london nasikia alinyweshwa pombe akawa chakari
Vipi bado mnahitaji details nyingine?
 
Ukiyatimiza yote hayo tutazidi kukubali so big up hata kwakufikiria hilo suala ni jambo jema
 
jamani tuwe serious na kuruhusu akil zetu kufanya kaz. Ivi Lema nae ni wa kutafutwa? Especially kwa ishu sirias tajwa? Labda sifaham maana ya kutafutwa

Achana na hao Masalia mkuu mwakibete
 
Last edited by a moderator:
Mbona wameshatajwa na Jason Bourne majina yao ni haya hapa

Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel

Source: Hawa ndio Watanzania walioficha fedha Uswisi « Jason Bourne
umbeya huo
 
Suala sio kuwataja tatizo pesa zetu zinarudishwaje. chonde chonde hatujasahau chenchi ya rada ilivyotumika. LEMA ATOE HOJA YA KUTAKA bunge liunde tume ichunguze jinsi pesa zilivyotumika maana nahisi kuna kaufisadi
 
Akili za Panzi hizi
Kumbe kusema ukweli ni akili za panzi??
Mbona jamaa zako huwa wanafuta thread ya hii ishu ikianzishwa, na kwa nini lema asisimame kukanusha, kusingiziwa kesi kama hii ni big issue kwa hiyo inabidi akanushe. Jamaa alitaka kubaka na mashahidi wapo , huyo jamaa its just a matter of time aibu kubwa itawakumba chadema.
Chama kinaongozwa na wezi wa wake za watu na wabakaji
 
Back
Top Bottom