mabua tu ukamanda haupatikani kwa kupiga kelele za jukwaani
We kama unaziona kelele zinaweza zikamvutia dadako au mamako.
mabua tu ukamanda haupatikani kwa kupiga kelele za jukwaani
Huluma au huruma we kiranja wa vilaza! au unampenda lema? sema usiogopehahaha nawaonea huluma
ALIKUWA ANATAKA Kumbaka
Flora Bahati Lyimo baada ya mkutano wa kufungua tawi london nasikia
alinyweshwa pombe akawa chakari
Vipi bado mnahitaji details nyingine?
Lema anataka umaarufu wa
muda. Anajua kabisa bunge lijalo ni lazima serikali watoe jibu la
uchunguzi wanaufanya.
Huyu jamaa ananikumbusha wale
wapigania haki wa South Afrika ambao walijitolea maisha yao kwa ajili
ya ukombozi.
Najivunia chama changu
CDM,najivunia makamanda
Lema,Lissu,Nassari,Heche,Wenje,Msigwa,Sugu,Kigaila,Mawazo,ila Lema
namfananisha na Mandela,kila la heri kamanda Lema
Mkuu mtu kuulizia ahadi alizozitoa mbunge wake ni utoto?Hebu ondosha mawazo yako ya kitoto hapa usije nisababishia Mi ban bure,,,,,,,,,,,,,,,,,,member kama huyu ni jamii ya kina Ritz na lile genge lake!!!!!!
hv huo ukamanda mnautoa wapi?
Kwa nini musimuulize
mwenyewe? au waulizeni watanzania waishio UK hiyo sio siri tena kila
mbongo anajua
Mkuu mtu kuulizia ahadi alizozitoa mbunge wake ni utoto?
hv huo ukamanda mnautoa wapi?