LEMA ni zaidi ya MALEMA!

Kwa kweli sishangai kwanini watu wengi wa arusha wanasema kuwa lema ni raisi wao.... kimsingi huyu jamaa anakubalika sana
 
Preta, mbona wamtetea sana Lema,
Watu maarufu wanatakiwa wawe na wake wengi au ????
 
Nini? Wee chalie acha kulinganisha bajaji na vogue!
 
mkuu hata wewe huyajui hayo!
Hivi kuna Mhalifu anayejulikana na Polisi wasiwe na data zake? au unajitia upofu kwamba hujui CCM inahaha usiku na mchana kutafuta namna ya kumzima Lema lakini wanashindwa? Otherwise labda uniambie huo uhalifu anashirikiana na JK ndio maana vyombo vyote vya dola vinamuogopa.
 
Matola umeona siasa za magamba. Wakishindwa kutetea hoja wanakuja na ujinga kuwa Lema ni mhalifu na ana record ya uhalifu
Kama ana hiyo record hiyo kwa nini wanasubiri muda wote wasimpeleke ndani au wakamfungulia kesi ya aina hiyo
Mapimbi watupu achana nao.
 

Sidhani kama atakuwa na cha kuongeza !
 
Preta, mbona wamtetea sana Lema,
Watu maarufu wanatakiwa wawe na wake wengi au ????
 
Preta;

Kamanda ni wa makamanda wote haijalishi jinsia.
Tutamuozesha kama zuma kimila basi
 

Join Date : 1st October 2012
Posts : 20
Rep Power : 305

Likes Received : 3
Likes Given : 0

...
Magambaz at work..
 

Mkuu Mr Rocky hawa jamaa wa magamba kila siku wanashuhudia umati mkubwa wa watu wa Arusha wanaojitokeza katika mikutano ya Lema na kufika mahakamani kufuatilia kesi yake.

Kinachowaumiza kichwa ni kwamba Lema amefanikiwa kuwafunika kabisa wanaccm wote walioko Arusha pamoja na fedha zote walizonazo huku wakisaidiwa na vyombo vya dola. Kujaribu kuktaa ukweli ulio dhahiri kwamba Lema anaungwa mkono na wananchi wengi sana wa Arusha si vijana tu bali wazee na watoto wake kwa waume ni dalili za wazi za siasa za mtaroni wa maji ya chooni kama anavyosema Matola.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwita Maranya kuna watu wanaongea vitu ambavyo hata uchunguzi hawajafanya. Yaani wanawafanya wakazi wa arusha hawana akili au malimbukeni na wanashabikia mtu ambaye ana record za uhalifu
Na kwa maana hiyo hata umati uliokuwa mahakamani ni kichaka cha wahalifu wanaojificha nyuma ya Lema
 
Last edited by a moderator:

Ndio maana nimesema kuwa kwa muda mrefu nimekuwa nikifuatilia mambo mengi katika mtandao huu na kugundua kuwa baadhi yao hata kama ni wa vyama vingine ila upumbavu umewatangulia mbele zaidi ya kile wanachokifikiria.
Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kusimama mbele za watu na kusema kuwa wale walionekana pale mahakamani walikuwa ni vijana wahuni tu!! mbona na wazee wenye umri wao nao walikuwepo??! Kwanini tusikubali kama mtu amekutangulia umuite Kaka au Mama au Baba......!! Wewe endelea na mtazamo wako huo mfu lakini CDM ndio kwanza inachapa mwendo.
 
mmhhhhhhhhhhhhhhhh kuna upofu wa kuzaliwa na wa kujitakia kazi ipo! Jamani umaarufu wa Lema zaidi ya Arusha upo wapi? Si alijaribu M4C kwenye vitongoji vya Dar aliona shuguli ilivyokuwa ngumu; Malema kila kona South Africa ni gumzo na anakubalika na wengi sana acheni kufananisho mlima na kichuguu, kweli Mrisho Ngasa anacheza soka lakini kumfananisha na lionel Messi ni kichekesho na dhihaka kubwa kwa wapenzi wa soka!

Chama
Gongo la mboto DSM
 
ndio nashangaa CUF wanasema wamekuja kuvunja kambi ya Chadema........

Wataishia chukua aibu ya Mkapa arumeru.Kwa ujumla CUF wamekwenda Arusha jivua nguo ili mahirizi na tatoo za wapenzi wao zionekane.Hata kama watatumika anzisha vurugu wakisaidiana na green guard na wakina X.Wanayo Kazi kubwa.Arusha watu wanaomba Mungu sana,na wapo vijana wa kutosha wanai feel CDM.

Wasichojua CUF ni kwamba Lema Tangu alipokuwa TLP alikuwa na mwendo huu huu.Sasa anajazia karama zote(zake+CDM), plus kuchoka kwa raia.CCM itapendwa Uswazi tuu kwa wale wenye kesi za mgofu ya urithi.
 
CCM wanarecord nyingi za uhalifu:-
1. Kukunjia TWIGA kwenye ndege na kutoroshea nje ya nchi
2.Kupandisha bei ya MAFUTA ili kupata fedha za kugharamia chaguzi zenu
3.Kuiba fedha nyingi Benki Kuu kwa ajili ya kuchakachau uchaguzi
4.CCM mme ua Raia wengi wasiokuwa na hatia; Iringa, Songea, Mbeya, Morogoro, Arusha, Nyamongo, Singida, Usa River, Zanzibar, Mwembe Chai Dar, Igunga nk
5. CCM mmeendelea kuwafelisha watoto wetu makusudi kwa lengo la kuwasababishia umasikini watanzania
6.CCM Mmeingia mikataba ya kukwapua rasilimali za watanzania zikiwemo MADINI ya Dhahabu, Almasi, Tanzanite, Rubi, Uranium, Makaa ya Mawe, Cobalt, Nikel na sasa GAS...CCM mmeweka matrilioni huko uswis

7. CCM mmemtesa Dr Uli sasa Mmenyamazisha kwa kumhonga akae kimya wakati wananchi wanaendelea kufa kutokana na kukosekana kwa huduma muhimu za kitabibu...

8. CCM Mnahujumu bandari yetu na kuikosesha nchi mapato ya dhahiri...


LIST ya UHALIFU WA CCM ni ndefu sana .... CCM mtupe list ya uhalifu wa LEMA...
5.
 
chama kwani huyo wa south africa alianzia umaarufu ghafla tuu na kupanda kama moto wa kifuu. May be wewe ndio kipofu huoni. Umaarufu wa mtu hauanzi kama moto wa kifuu unaanza taratibu kwenye mji then mkoa then unaendelea. Ana muda wake wa kupanda kwenye huo umaarufu unaoutaka wewe.
 
Last edited by a moderator:
Machalii wa Arusha mkishapata supu za ulimi wa ng'ombe mnakaa kwenye vijiwe vyenu na kuanza kumsifia Lema, bila sababu kumfananisha Lema na Malema, ni sawa na kufananisha mlima Kilimanjaro na mlima Tegeta.
 
Ahaaaaaaaaa.....!!! Kumbe nawe ni gumegume lilelile tu!! Subiri mwenye macho haambiwi tule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…