harakat
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 2,888
- 1,347
Muheshimiwa Arusha sasa imekua kama sehemu ambayo hakuna amani ya kimaendeleo kila kukicha
tumekua tunaendelea kusikia mbunge wetu amefanya hivi anafanya vile sasa sijui kama kuna tija ya
kimaendeleo katika masuala tunayoyafanya ,
Katiba ndio hasa itakayotusaidia kufanya mambo haya mengine ya haki ikaeje na kwamba ni nini cha kufanya
jitahidi kupigana kuwe na uwekezaji Arusha ili wananchi tuliokuchagua tuwe na maisha bora ambapo CCM
wameshindwa hili tayari.
Onesha kwamba kura tulizokupa hatukupoteza........
tukutane hapo nje yaani NMC......................................................
nawsilisha.
tumekua tunaendelea kusikia mbunge wetu amefanya hivi anafanya vile sasa sijui kama kuna tija ya
kimaendeleo katika masuala tunayoyafanya ,
Katiba ndio hasa itakayotusaidia kufanya mambo haya mengine ya haki ikaeje na kwamba ni nini cha kufanya
jitahidi kupigana kuwe na uwekezaji Arusha ili wananchi tuliokuchagua tuwe na maisha bora ambapo CCM
wameshindwa hili tayari.
Onesha kwamba kura tulizokupa hatukupoteza........
tukutane hapo nje yaani NMC......................................................
nawsilisha.