Lema atakuwa wa kwanza kuoza yeye maana kwa usaliti wake siku amekufa atarundikwa mchanga mwingi sanaLema amekua mpiga ramli na msoma nyota. Anaombea viongozi wa ccm kufa, eti ametumwa na mungu, unajiuliza huyo Mungu ambae anamtuma lema anakua amelewa ama amechanganyikiwa, amekosa watu wa kutuma?
Lissu yuko compromised tayari na wabelgiji.
Hii nchi haina future.
Ccm msala, upinzani msala zaidi. No future.
Tafuta jukwaa la "Waliokosa hekima na Akili Kidogo", mada na michango itakuwa ipo mahali sahihi.Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lissu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.
Hopeless, low IQ, low thinking. Rudi shule Lumumba ujifunze kutengeneza hoja makin.Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lissu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.
Mazuzu ya CCM hayo mkuuTafuta jukwaa la "Waliokosa hekima na Akili Kidogo", mada na michango itakuwa ipo mahali sahihi.
Magufuli siyo Taifa. Yeye amefariki, Taifa linaendelea.Kuwa makini mnaweza kuwa wa kwanza kuoza maana mkifa leo mtarundikwa mchanga mwingi sana kwa kusaliti taifa na kuolewa na wazungu.
Wewe umeachana na mwendazake sasa unatafuta basha mpyaNyumbu wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Wameachana na Lisu sasa hivi wanatimua mbio kuelekea ccm kwa mama Samia.
Aisee ujinga upo na watu wa ccm, yan mnanishangazaga kitu kimoja mtu akipinga mambo yenu ya kipuuz huwa ni automatic mnamwona yupo chadema, you guys are very stupid wengine sisi ni concerned citizens we are not affiliated with any political party, we have common sense therefore we know what is good and bad, wrong and right....next time tumia akili kidogo hata kama mtu akiwa ccm anakuwa mbumbumbu mkuu
Nyinyi wanasaccos mmelaaniwa na Mungu mtabaki kuhangaika tu lakini nchi hamtakabidhiwa kabisa!!He he he! Faru joni anadunda tuu biashara South, Dubai na Nairobi. Jiwe na hivi walimfukia kaveshwa ngozi basi funza wanatafuna kwa kasi ya 5G.
Na huku duniani MAMA SS anawaumbua nyie vidampa wa mwendazake.
Mwendazake ameshaoza muda mrefuKuwa makini mnaweza kuwa wa kwanza kuoza maana mkifa leo mtarundikwa mchanga mwingi sana kwa kusaliti taifa na kuolewa na wazungu.
Unakurupuka kujibu swali ambalo siyo lako: Swali limeelekezwa kwa Lissu na Lema, wameulizwa wao straight, ("Lissu na Lema, mnarudi lini Tanzania") sasa subiri wao watajibu, naamini wamo humu, acha kiherehere!!Alikuja hapa akafanya kampeni miezi mitatu chini ya ulinzi wa mwendazake .
Dereva anahitajika ili aje atoe maelezo lakini amefichwa
Hao ni wake halali wa Amstadam kurudi mpaka awape ruhusa.Unakurupuka kujibu swali ambalo siyo lako: Swali limeelekezwa kwa Lissu na Lema, wameulizwa wao straight, ("Lissu na Lema, mnarudi lini Tanzania") sasa subiri wao watajibu, naamini wamo humu, acha kiherehere!!
Etwege wewe ni mjinga wa kupindukia wewe mbona unalelewa na ufukara na umaskini wa fikra kiasi kikubwa namna hii! Ungekuwa ni wewe uliyekoswa kuuwawa ungebaki ili hao wanaume wa kiafrika waendelee kukulea na kuona fahari! Yaani eti waje walipe madeni wewe inakuhusu nini!Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lissu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.