imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,674
- 71,041
Acha kukejeli matatizo ya Lissu.Chadema tutwapa kazi ya kuandika story za movie za wahindi mpo vizur
Acha kukejeli matatizo ya Lissu.Chadema tutwapa kazi ya kuandika story za movie za wahindi mpo vizur
Sikejeli matatizo ya lissu na kejeli story mliyotutungiaAcha kukejeli matatizo ya Lissu.
mbona yeye matatizo yake hayo alikuwa anayatumia kupiga kampeni pamoja na hayo kura hazikutosha watu hawakumuelewa kabis yaani duAcha kukejeli matatizo ya Lissu.
Mbona Magazeti yote yaliandika kuwa alipigwa Risasi 40 ila zilizompata ni 16Sikejeli matatizo ya lissu na kejeli story mliyotutungia
Gazeti gani hzoMbona Magazeti yote yaliandika kuwa alipigwa Risasi 40 ila zilizompata ni 16
Mzimu wake utakutesa mpaka kufa kwako, na ukifa utarundikwa mchanga mwingi sana ewe kapuku wa kutupwa.He he he! Faru joni anadunda tuu biashara South, Dubai na Nairobi. Jiwe na hivi walimfukia kaveshwa ngozi basi funza wanatafuna kwa kasi ya 5G.
Na huku duniani MAMA SS anawaumbua nyie vidampa wa mwendazake.
Alipigwa na Shujaa wa Mazezeta, Mwenyekiti (Mbowe) asingeweza kuzitoa kamera za cctv.Alipigwa baada kutaka uenyekiti wa Chadema
Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lissu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.
We ndio kiazi kabisa,Mjinga na mpumbavu mbobezi, mama huna shughuli si usome biblical au jirani. Kmmmyk.
Naona IQ yako ndo imekufanya uone kila mtu ni chawa wa CCMKijana una IQ ndogo sana au ndio ninyi Polepole alikutoa Kijiji gani?
Unaleta ubishi usiokuwa na tija zaidi ya kujaza server.Naona IQ yako ndo imekufanya uone kila mtu ni chawa wa CCM
Naona IQ yako ilivyokuwa kubwaUnaleta ubishi usiokuwa na tija zaidi ya kujaza server.
Nadhani lissu alitoa hoja zake 6 ambazo zikifuatwa atarudi kwayo mpaka sasa hajajibiwa hivyo bado ana wasiwasi kurudi kuhusu Lema sijajua ila nadhani kwa sababu kashapewa uraia huko huenda ndo ikwa nitolee kurudi hukuWalituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lissu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.
Nenda basi Chit Chat ukabishane.Naona IQ yako ilivyokuwa kubwa
Kijana mambo ya Faragha yaache VyumbaniUmenogeshwa hatari na Amstadam unakula vinono vya mwanaume
Wakati anarudi kugombea akafanya kampeni miezi 3 ,hoja zake zilikuwa zimejibiwa na nani?Nadhani lissu alitoa hoja zake 6 ambazo zikifuatwa atarudi kwayo mpaka sasa hajajibiwa hivyo bado ana wasiwasi kurudi kuhusu lema sijajua ila nadhani kwa sababu kashapewa uraia huko huenda ndo ikwa nitolee kurudi huku