Nyie tunawajua kuwa mnataka kumkwamisha rais Samia lkn tutawathibiti tu.Siyo Lisu kumbe?
Lazima mtarudi kwenu burundiNani anawalisha huko?
Dawa yenu inachemshwa na kundi lenu la sukuma gangSisi tumempigia kura Samia
Kwa nini polisi walitoa zile footage pale area d Dodoma?Walituaminisha wamekimbia nchi na kwenda kulelewa na wanaume wa kizungu kama wakimbizi kwa sababu hapa nchini walikuwa wanatishiwa maisha na mwendazake.
Sasa hivi mwendazake hayupo je ni lini mtaacha kuishi kwa kulelewa na wazungu Ulaya mrudi Tanzania kujenga nchi na kula kwa jasho lenu? Tunahoji haya kwa sababu tunaona mko kimyaaa.
Mkiendelea kukaa kimya watu watajua mlikimbia nchi kwa masilahi yenu na siyo kwa kutishiwa maisha na mwendazake. Kwanza wewe Lema ulilipa lile deni lako la million 400 lililosomwa na spika Ndugai bungeni?
Rudi ulipe madeni ya watu.
Na wewe mzee wa MIGA Lisu rudi hutawakuta Acacia uliokuwa unawatetea sana utakuta kampuni mpya ya madini inayoitwa TWIGA.
wanajuwa wanachokificha hapo wanamnusuru MboweAlikuja hapa akafanya kampeni miezi mitatu chini ya ulinzi wa mwendazake .
Dereva anahitajika ili aje atoe maelezo lakini amefichwa
Acha kuangalia movie za kiindi upigwe risasi 16 uponeHayajakukuta Ndugu,Risasi 16 halafu waliotaka kukuua bado wanakupigia simu za kukuambia kuwa watakumaliazia kazi walioianza
Shujaa wa Mazezeta alitufikisha sehemu mbaya sana
Heli shujaa wa mazezeta kuliko shujaa wenu mash _ gaHayajakukuta Ndugu,Risasi 16 halafu waliotaka kukuua bado wanakupigia simu za kukuambia kuwa watakumaliazia kazi walioianza
Shujaa wa Mazezeta alitufikisha sehemu mbaya sana
Dogo pole kwa kifo Cha yule....mliyemwabuduHakuna lolote nafikiri atamtaja Faru John.
Haki ya Faragha, mbona ninyi mlimpiga STOP Makonda.Heli shujaa wa mazezeta kuliko shujaa wenu mash _ ga
Zilikuwa 40 sema Mungu hakutakaAcha kuangalia movie za kiindi upigwe risasi 16 upone
Chadema tutwapa kazi ya kuandika story za movie za wahindi mpo vizurZilikuwa 40 sema Mungu hakutaka