Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,358
- 14,633
- Thread starter
- #61
Lema atakuwa wa kwanza kuoza yeye maana kwa usaliti wake siku amekufa atarundikwa mchanga mwingi sanaLema amekua mpiga ramli na msoma nyota. Anaombea viongozi wa ccm kufa, eti ametumwa na mungu, unajiuliza huyo Mungu ambae anamtuma lema anakua amelewa ama amechanganyikiwa, amekosa watu wa kutuma?
Lissu yuko compromised tayari na wabelgiji.
Hii nchi haina future.
Ccm msala, upinzani msala zaidi. No future.