Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
1. Lissu na Lema wameendelea kulelewa na wazungu maana yake walisingizia kwamba wamekimbia sababu ya Magufuli.
2. Igizo la Corona limeisha kama alivyotabiri Magufuli
3. Ndege tulizoambiwa na Zitto Kabwe kwamba Magufuli amenunua mitumba mpaka leo zinapiga kazi vizuri sana
4. Tanzania haijashtakiwa MIGA kama alivyotabiri Tundu Lissu
5. Mpaka sasa hamna ufisadi wowote aliofanya Magufuli ulioibuliwa na waliomchukia
6. Baada ya waliotumbuliwa na Magufuli kurudishwa serikalini ,utendaji wa Serikali umezorota sana, hivyo kuwafanya wananchi wagundue kumbe Magufuli hakuwa anamuonea mtu.
7. Baada ya Magufuli kuondoka Tanzania imeporomoka uchumi wa kati.
2. Igizo la Corona limeisha kama alivyotabiri Magufuli
3. Ndege tulizoambiwa na Zitto Kabwe kwamba Magufuli amenunua mitumba mpaka leo zinapiga kazi vizuri sana
4. Tanzania haijashtakiwa MIGA kama alivyotabiri Tundu Lissu
5. Mpaka sasa hamna ufisadi wowote aliofanya Magufuli ulioibuliwa na waliomchukia
6. Baada ya waliotumbuliwa na Magufuli kurudishwa serikalini ,utendaji wa Serikali umezorota sana, hivyo kuwafanya wananchi wagundue kumbe Magufuli hakuwa anamuonea mtu.
7. Baada ya Magufuli kuondoka Tanzania imeporomoka uchumi wa kati.