Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Ndugu zangu,
Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuita Lowassa fisadi"..
Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.
Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.
Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.
Godbless Lema kipindi anafanya kampeni mnamo September 2013 kumpigia Debe Nassari alisikika akisema "...ni heshima kubwa kwa mungu kumuita Lowassa fisadi"..
Mengi yamepita na hata Lowassa alipojiunga CHADEMA Lema aliishi kwa wasiwasi. Tangu Nassari avuliwe ubunge Lema amekuwa kimya na mwenye aibu nyingi ukizingatia alivyompigania halafu dogo hayupo siriazi.
Ikumbukwe pia,Lema na Nassari walishiriki movie ya kuua na kuzika mbwa.
Ukweli utakuweka huru ndugu Lema,usiishi kwa wasiwasi na aibu,mtafute Lowassa na umuombe radhi.