Nzinza edward
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 421
- 179
Kosa lake kuitangaza ndoto yake aliyoota hadharani!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leta hoja, sio ulete broken englishNot easy layman best you stay away with ua political propaganda and uchwara of uccm and not necessary once u receive 3/5k u must write or talk pumba as propesa pumba rt??????
Better you know information confidentiality
hii ni njia rahisi ya kumuelimisha ila mpumbavu hana hajifunzaloukiona amepewa dhamana,nenda ukamsihi aache kuropoka ropoka ovyo
Mkuu kuna mchango uliandika: "sasa hivi wanatamba mtaani na hoja ya Wabunge wa CCM kugawana pesa kwenye vikao vyao, unajiuliza hivi hizi hoja za jirani kala nini zinakuhusu nini wewe kama jirani?? (chamilo nicolous JF-Expert Member #70 Yesterday at 7:47 AM)"Habari za asubuhi wa JF
Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.
Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.
Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.
CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri
Habari za asubuhi wa JF
Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.
Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.
Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.
CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri
Habari za asubuhi wa JF
Itakumbukwa kwamba hivi karibuni Lema mbunge wa Arusha ametiwa kizuizini kwa upuuzi wa kukosa hekima. Inawezekana nimetumia neno gumu lakini mtu anaposhindwa kusimamia jambo pasipo sababu au kwa makusudi ni mpuuzi.
Hoja ni hii, jopo la mawakili 6 linalosimamia kesi linalipwa kwa mchanganuo huu:-
posho za kila siku @ 100000*6
gharama za usafiri @ siku 50000* siku kesi itakapo isha.
Ukitafuta jumla ya siku 7 ambayo kesi imetanjwa inafanya Tsh ( 600000*7) +(50000*7)=5.85milions
nakesi bado inatajwa.
Hizi pesa hazikuwa na ulazima wowote wa kutumika kama sii upuuzi wa Godbless Lema kutumia mdomo wake vibaya. Jamaani tulione hili kiuzalendo, ruzuku za chama ni pesa za walipa kodi zinaniuma sana.
CHADEMA tambueni pesa za wananchi ni kwa ajili ya maendeleo, tuzitumie vizuri
Au ndo michango ya bukoba nini!!!Mkuu kuna mchango uliandika: "sasa hivi wanatamba mtaani na hoja ya Wabunge wa CCM kugawana pesa kwenye vikao vyao, unajiuliza hivi hizi hoja za jirani kala nini zinakuhusu nini wewe kama jirani?? (chamilo nicolous JF-Expert Member #70 Yesterday at 7:47 AM)"
We jamaa wwCHADEMA tubadilike.
Unazungumzia demokrasia gani kamanda.kama ndani ya chadema tu demokrasia imeshindikana itawezekanaje ya kutafuta nje ya hapi. Ni ujingaDemokrasia ina gharama kubwa.Maadamu watanzania tumekubali mfumo wa vyama vingi sioni tatizo kugharamia matumizi ya vyama na wanachama wake.
Acha kumfananisha mzee MANDELA na vitu vya kipumbavu.Nonsense mbona jamkumwambia mzee Mandela namna hiyo? Mbona jamkumwambia mwalimu namna hiyo,?
malipo haya ni matokeo ya ruzuku ambazo ni kodi za walala hoi, siwezi kuvumilia kuona zinatumika kihorera kwa mtu mpuuuziMkuu kuna mchango uliandika: "sasa hivi wanatamba mtaani na hoja ya Wabunge wa CCM kugawana pesa kwenye vikao vyao, unajiuliza hivi hizi hoja za jirani kala nini zinakuhusu nini wewe kama jirani?? (chamilo nicolous JF-Expert Member #70 Yesterday at 7:47 AM)"
Umejibu vizuri sana ukiacha hiyo angle ya upuuzi, hivyo hivyo kama CCM wanagawana hela kiholela kwenye vikao vyao na CCM inapata ruzuku ni sawa basi watu kuhoji hata kama hayo yanatokea nyumba ya jirani.malipo haya ni matokeo ya ruzuku ambazo ni kodi za walala hoi, siwezi kuvumilia kuona zinatumika kihorera kwa mtu mpuuuzi
Hiyo gharama ya mahakama ni zipi kwani kazi zinavyofanywa na watumishi wa mahakama ni waajiliwa wa serikali ukizingatia posho zote zimefutwa na mheshimiwa!