Lema maji ya shingo Arusha

Huyu lema ni shida, hana LA maana analowatendea wana arusha zaidi yakuwachochea kushiriki maandano na migomo isiyo na tija, ni MTU wa sifa za kijingajinga sana, hata huko bungeni huwa sioni LA maana analoongea. Wana arusha msikubali water kufanywa wanywa viroba, next time mbadilishe mwakilishi, sio lema, kidumu Chadema.
 
Mungu amsaidie sana lema ashinde jimbo hilo mtetezi wa wanyonye.
 
Thubutuu hahaha wanajua kunamoto

Nyie wana ACT mliopata walau kiti kimoja cha ubunge nnawapa taarifa kuwa CDM tunaongeza kiti moja cha Lema ambacho kitazalisha viti vya wabunge wawili wa viti maalumu.
 
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.

Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.

wakifanya wapinzani inawauma eeee!!!
 
Ya Arusha waachie wana Arusha huku hata Mpige kazi mpaka mbinuke kamwe ccm hawapati kitu..tutaunga mkono juhud zote za maendeleo lakin c kuichagua ccm,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…