Watanzania tumekuwa vinara wa events na magwiji wa analysis, lakini upande wa ideas na execution (i.e job well done), am standing to be corrected but for sure we are real poor. Let us critically discuss for sure dhambi ya Lowasa isiyotakiwa toba ni ipi? Je, ni RICHMOND? kUJIUZULU UWAZIRI MKUU? UTAJIRI? Ama nini hasa? Tuongee kwa facts ni si hisia.
hizi hadithi tumezisikia sana kwamba lowassa ataeleza kila kitu miaka inasonga tuu ni ndoto za alinacha!!Hbr nilizozinyaka kwa mtu wa karibu kbs na EL ni kwa hbr hii ni ya ukweli toka ndani ya nafsi yake EL.
Na anachotaka kufanya ni kutoa kutapika yote yaliyomfanya ajiuzuru uwaziri mkuu ile enzi yake na bila kusaha mambo ya epa & richmond ambayo imekuwa ikimgusa sana kwn karibu kila Mtanzania amekuwa akimwonyeshea kidole.
Mdau amesema kwmb ataweka wazi kila kitu wazi na ndipo atatua chama ajuae yeye na hajaweka wazi ni chama gani ataingia ila ataibwaga manyanga ccm muda wowote kuanzia mwezi ujao.
Tusubirie na tuangalie hii sinema itakavyokuwa kwani natarajia kuona hii kimbunga ikuchukua angalau kama siyo nyumba nzima lakini itachukua hata bati.
Akiingia CDM pamoja na kueleza yote kwa ukweli na kutubu pale alipokosea kwa makovu aliyo nayo hatakiwi kupewa uongozi! sikumbuki vema kama kwenye ili list of shame ya mwembe yanga iliyotolewa na dr. slaa jina lake lipo au la!!kama lipo je litaondolewa kwenye hiyo list au itakuwaje??Mundali mimi nakubaliana sana na wewe kwamba hakuna dhambi isiyofaa kutubu, lakini mimi nawaona Watanzania hawako strategic kabisa kwasababu huenda Lowassa hakuhusika na hizi lawama na huenda anataka kuwataja wahusika kamili. Kwanini asipewe mahali pa kuja kutolea hayo aliyonayo kama kweli anataka changes? Inatakiwa aseme wazi kwamba yeye hahusiki kwa lolote ila kilichotokea ni 1, 2, 3... Au akiri kwamba hatuwezi kujua anaweza kusema kuna aliyofanya lakini ameamua kubadili dini ili amtumikie Bwana kwa njia nyingine. I believe He'll be of use in many ways ila haitakiwi yeye aimeze CDM, anatakiwa kumezwa na CDM na hilo mimi naamini linawezekana.
Ficha gamba, vaa gwanda.
Siku zote kwenye vita silaha ya mwenzako ikiangukia mikononi mwako hauitupi ila unaificha ili adui yako asipate silaha ya kukuumiza nayo, la msingi sana ni wewe ujue namna ya kuitumia maana kama ni bomu ukiliweka vibaya litakulipukia. Ila kama unazifahamu silaha vyema una uwezo mkubwa wa kutumia hiyo hiyo silaha kumharibu mwenzako, usiitegemee sana silaha ya adui pia as it might fail on the way.
Lema amewataja Ndg. Edward Ngoyai Lowassa, Ndg. Samweli Sitta na Ndg. Harisson George Mwakyembe kuwa ni kati ya vigogo walioomba kuhama kutoka CCM kuja CDM.
Source:
Nimehudhuiria mkutano wake wa jana!
mwenzangu weee. haya mambo haya.Mbona umechanganya chunvi, sukari, pilipili na cloroquine. Wotae hao watakubaliwa?
nawewe ulikuwepo?.Lema hakutaja mtu